kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #41
Wachawi na waganga wanapojadili mambo yao!Wameshatoa zile nyasi na mabati?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachawi na waganga wanapojadili mambo yao!Wameshatoa zile nyasi na mabati?
Shughuli imeishaAmekuwa kimya sana kila nikimpigia hapatikani,mwenye taarifa zake atupatie au ampe taarifa tunataka kujua yale mafaili yetu ya zile kesi alizofungua yamefikia wapi...
Hivi kesi zile zilikuwa za serikali au mtu binafsi - MagufuliMuovu wao ameshakufa na kuzikwa huko Chato mabatini, hawana haja ya kuendelea na hizo kesi. Now wanakula kuku kwa mrija huku wakidemka na utawala shupavu wa Mama.
Nauliza tu, ikiwa mwendazake alidhulumu uchaguzi ule, Lisu akigombea 2025 atashinda?Ndivyo walivyo mawakili,amechukua mpunga wake na kumetulia...
Kafutika yeye sasa na uchawi wake wote.Yuko wapi Jiwe aliyesema ameufuta upinzani.??
Ni kweli, wataachaje waume zao?Warudi kufanya nini? Wameshaanza maisha mapya huko waliko
Sasa hao 'me nao wanafanya nini? Chama cha kutengeneza mateja na mashoga!?Haya mashindano naamini utafanikiwa na kujinyakulia kombe. View attachment 1804203
TuwacheeWachawi na waganga wanapojadili mambo yao!
Hao lumumba hawawezi kuanzisha uzi usiyo ihusu cdm maana hautapata wachangiaji.Kazi kubwa ilishamalizika sasa unamtaka wa nini au unahitaji mume?
Hapo ushamfukuza jamviniPAUL MAKONDA YUPO WAPI???[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kazi ilimalizwa na coronaItakuwa labda kazi aliyotumwa ameshaimaliza.
Kinacho onekana ni lile banda tu huwezi jua ndani kuna niniWameshatoa zile nyasi na mabati?
Anasubiria kuburuzwa mahakamaniMuueleze ulichomuitia kaacha kula!View attachment 1804245
Karanga nalima mwenyewe hapa kakonkoNapenyezewa hapa na watu wako wa karibu hali yako ya uchumi ni mbaya sana unashindia karanga za kuonja!
Unalima karanga au unakopera watu kangomba!Karanga nalima mwenyewe hapa kakonko
Chadema ipi ambayo ishajifia kitambo!Hao lumumba hawawezi kuanzisha uzi usiyo ihusu cdm maana hautapata wachangiaji.