Yu wapi yule Robert Amsterdam Wakili maarufu?

Yu wapi yule Robert Amsterdam Wakili maarufu?

Amekuwa kimya sana kila nikimpigia hapatikani, mwenye taarifa zake atupatie au ampe taarifa tunataka kujua yale mafaili yetu ya zile kesi alizofungua yamefikia wapi.

Ubaya hauna kwao.

Mwisho wa ubaya ni aibu.

Tumpigie kura mwakilishi wetu Diamond Platnumz aka Sadala.
Pole kwa msiba wa Meko.
 
Kushenei ni yule aliyeko kwenye banda la bati, hawa wengine wanapiga milo mitatu kama kawa huku wakishushia msosi na mvinyo mwekundu kutoka Italy. Upo hapo?
Mkuu..tena nasikia Chato kuna joto kali sana..nafikiri sababu itakua mzigo una decompose huko chini kisawasawa..
MUNGU AMETUTENDEA MAKUU SANA Watanzania.
 
Amekuwa kimya sana kila nikimpigia hapatikani, mwenye taarifa zake atupatie au ampe taarifa tunataka kujua yale mafaili yetu ya zile kesi alizofungua yamefikia wapi.

Ubaya hauna kwao.

Mwisho wa ubaya ni aibu.

Tumpigie kura mwakilishi wetu Diamond Platnumz aka Sadala.
Yupo chato kaenda kuzuru kaburi
 
Nauliza tu, ikiwa mwendazake alidhulumu uchaguzi ule, Lisu akigombea 2025 atashinda?
Kwa mtizamo wangu ni kuwa si Lissu tu lakini hakuna uwezekana wa kushinda U rais kwa mtu anayetokea upinzani katika siku za usoni.Hili ni jambo jema kabisa kwani ushahidi usio shaka unaonyesha kutokana na katiba mbovu mara nyingi kubadili uongozi wa juu kumepelekea nchi nyingi kuingia matatizoni (kenya,Zambia,Malawi n.k).Upinzani uendelee kutoa challenge na kuongeza idadi ya wabunge lakini mabadiliko ya ghafla ya uongozi wa juu ni jambo ambalo si la siha sana kwa nchi yetu kwa sasa.
 
Kala hela za chadema mwishowe akaona hela hazitoshi akamwita na mhusika ila akae nae kabisa
 
Hivi kesi zile zilikuwa za serikali au mtu binafsi - Magufuli
Kipindi cha Magufuli kulikuwa na serikali? Yeye ndiye alikuwa kila kitu, kuanzia waziri mkuu, makamu wa rais, jaji mkuu, spika, rpc, cdf na kila aina ya mamlaka unayojua wewe
 
Hapo ushamfukuza jamvini
NIAMBIE NDUGU YANGU MMAWAIA! Uchidachi somo!! Naomba nicheki INBOX tuongee issue.

Nipo safarini NAENDA NANDAGALA KUCHEKI MAENDELEO YA barabara ya LAMI NANGANGA RUANGWA!!!
 
Amekuwa kimya sana kila nikimpigia hapatikani, mwenye taarifa zake atupatie au ampe taarifa tunataka kujua yale mafaili yetu ya zile kesi alizofungua yamefikia wapi.

Ubaya hauna kwao.

Mwisho wa ubaya ni aibu.

Tumpigie kura mwakilishi wetu Diamond Platnumz aka Sadala.
Amehusika kwenye kumuua nanihii ndio maana sasa hivi kapotea, sasa hivi anajiandaa kuleta makampuni ya kuvuna maliasili zetu
 
Kwa mtizamo wangu ni kuwa si Lissu tu lakini hakuna uwezekana wa kushinda U rais kwa mtu anayetokea upinzani katika siku za usoni.Hili ni jambo jema kabisa kwani ushahidi usio shaka unaonyesha kutokana na katiba mbovu mara nyingi kubadili uongozi wa juu kumepelekea nchi nyingi kuingia matatizoni (kenya,Zambia,Malawi n.k).Upinzani uendelee kutoa challenge na kuongeza idadi ya wabunge lakini mabadiliko ya ghafla ya uongozi wa juu ni jambo ambalo si la siha sana kwa nchi yetu kwa sasa.
Wewe utakwenda peponi sio mtizamo tu ndio ukweli wenyewe japo mchungu!
 
Back
Top Bottom