Yu wapi yule Robert Amsterdam Wakili maarufu?

Yu wapi yule Robert Amsterdam Wakili maarufu?

Muovu wao ameshakufa na kuzikwa huko Chato mabatini, hawana haja ya kuendelea na hizo kesi. Now wanakula kuku kwa mrija huku wakidemka na utawala shupavu wa Mama.
Hivi kesi zile zilikuwa za serikali au mtu binafsi - Magufuli
 
Hapo ndo mjue kuwa lissu hakuwa adui wa nchi Kama mlivyokuwa mnaimanishwa ,nchi yetu sote hii
 
Back
Top Bottom