Binafsi movie pekee niliyoikubali ya Hemedy ni ile wamo na Mlela ( imeshutiwa Mererani ).Yupo kwenye series za Uhuru season 2, zinarushwa Mambo Tv ya star times..
Pamoja na mambo yake mengi, jamaa anajua sana kuigiza, ana kipaji kikubwa sana..
Yuko Instagram, anatukana kinyama 🤣🤣🤣🤣Wakuu
Huyu jamaa sijamsikia kitambo.. kaacha music au vipi?
Kama kuna mtu mwenye info zake anijuze tafadhali.
Aliambiwa na mshabiki wake huko IG we ni shoga tu,nae akajibu ndio niko nampa mume wetu doggystyle na akimaliza namtengea chai mume wetu.Yuko Instagram, anatukana kinyama 🤣🤣🤣🤣
Jamaa kipaji anacho lakini ndo tatizo letu wabongo wengi discipline ni zero linapokuja suala la kuhandle pressure , kaliwezea Mondi Tu ndo mana anapepea japo kipaji Tia maji Tia maji😀Aliambiwa na mshabiki wake huko IG we ni shoga tu,nae akajibu ndio niko nampa mume wetu doggystyle na akimaliza namtengea chai mume wetu.
Mwehu yule.
Kuna siku shabiki alimwambia 'Nguo uliyovaa umerudia' akajibu.Aliambiwa na mshabiki wake huko IG we ni shoga tu,nae akajibu ndio niko nampa mume wetu doggystyle na akimaliza namtengea chai mume wetu.
Mwehu yule.
Aliambiwa na mshabiki wake huko IG we ni shoga tu,nae akajibu ndio niko nampa mume wetu doggystyle na akimaliza namtengea chai mume wetu.
Mwehu yule.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Yuko Instagram, anatukana kinyama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] aiseeAna matusi ya mataifa mbalimbali[emoji23][emoji23]
Tatizo wabongo wengi wanawahi kulizika na ndio maana wengi wanashindwa kumaintain,kwani kumaintain kunahitaji kujituma na nidhamu ya hali ya juu.Jamaa kipaji anacho lakini ndo tatizo letu wabongo wengi discipline ni zero linapokuja suala la kuhandle pressure , kaliwezea Mondi Tu ndo mana anapepea japo kipaji Tia maji Tia maji😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anajitoaga sana ufahamu khaaaahAliambiwa na mshabiki wake huko IG we ni shoga tu,nae akajibu ndio niko nampa mume wetu doggystyle na akimaliza namtengea chai mume wetu.
Mwehu yule.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na anayapatia kwa kweli lolAna matusi ya mataifa mbalimbali[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kashinda viwango vya TBSAah jamaa lina mitusi balaa [emoji1787][emoji1787][emoji23]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app