Yuko wapi Hamed Phd?

Yuko wapi Hamed Phd?

Kuna Waiter pia ile movie alicheza vyema nimeipenda stori na uhusika wake...sasa hivi kuna Hemed Chande Ckassmate wangu ila naoana anuza zaidi sura kuliko kuigiza.
Binafsi movie pekee niliyoikubali ya Hemedy ni ile wamo na Mlela ( imeshutiwa Mererani ).

Siku hizi amekuwa muuza sura sana kuliko KAZI.
 
Labda kwenye bongo movie huko ndipo tuongee lakini sio mziki.

Mziki sio fani ya Hemedi hata kidogo. Ana uimbaji wa mtu anaejifunza mziki. Bado sana kumwita msanii wa kueleweka. Na ndio maana hadi leo tokea ameanza kuimba si angekuwa hata ameanza kushika chati mbali mbali au kupewa show. Ila hakuna hicho kitu.....
 
Labda kwenye bongo movie huko ndipo tuongee lakini sio mziki.

Mziki sio fani ya Hemedi hata kidogo. Ana uimbaji wa mtu anaejifunza mziki. Bado sana kumwita msanii wa kueleweka. Na ndio maana hadi leo tokea ameanza kuimba si angekuwa hata ameanza kushika chati mbali mbali au kupewa show. Ila hakuna hicho kitu.....
Hajatilia tu mkazo lakini kipaji anacho Sana.
Umaarufu siyo kipaji.
Tofautisha umaarufu na kipaji.
 
Hajatilia tu mkazo lakini kipaji anacho Sana.
Umaarufu siyo kipaji.
Tofautisha umaarufu na kipaji.
Nime maanisha kipaji. Mtu anaejua kuimba anajulikana na huwa hatumii nguvu kushawishi sikio la mtu kuwa anajua kuimba.

Sauti ya Hemedi kwanza sio ya kuimba. Kupita katika shindano la Tusker Project Fame haikuwa sababu ya kusema he is the best, mind you kura za haya mashindano mostly huwa zinakuwa biased na mambo mengi, kuna watu walikuwa wanampigia kura sababu ya muonekano na sio uwezo wa kuimba, therefore hiyo futa.


Ila kimsingi fani ya kuimba anatumia nguvu nyingi sana sio fani yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nime maanisha kipaji. Mtu anaejua kuimba anajulikana na huwa hatumii nguvu kushawishi sikio la mtu kuwa anajua kuimba.

Sauti ya Hemedi kwanza sio ya kuimba. Kupita katika shindano la Tusker Project Fame haikuwa sababu ya kusema he is the best, mind you kura za haya mashindano mostly huwa zinakuwa biased na mambo mengi, kuna watu walikuwa wanampigia kura sababu ya muonekano na sio uwezo wa kuimba, therefore hiyo futa.


Ila kimsingi fani ya kuimba anatumia nguvu nyingi sana sio fani yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sijatumia Tusker project kama criteria ya kumuweka kwenye kundi la wenye vipaji.

Btw,kila mtu ana mtazamo wake.
 
Nime maanisha kipaji. Mtu anaejua kuimba anajulikana na huwa hatumii nguvu kushawishi sikio la mtu kuwa anajua kuimba.

Sauti ya Hemedi kwanza sio ya kuimba. Kupita katika shindano la Tusker Project Fame haikuwa sababu ya kusema he is the best, mind you kura za haya mashindano mostly huwa zinakuwa biased na mambo mengi, kuna watu walikuwa wanampigia kura sababu ya muonekano na sio uwezo wa kuimba, therefore hiyo futa.


Ila kimsingi fani ya kuimba anatumia nguvu nyingi sana sio fani yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulisema..

Nachotaka..

Alcohol..

Hizi nyimbo zilimpa show sana..

Je wajua kundi la Wasafi mwanzo liliundwa na Diamond na Hemed na wakipiga sana show kwa pamoja kabla ya Diamond kuwa mkubwa zaidi..

Jamaa alivyoanza kubase kwenye filamu/tamthilia akaanza kufanya mziki kama starehe...

Kama unasema jamaa hajui kuimba anaimba kama anajifunza basi mwenzetu unaujua muziki kuliko sisi...Hongera
 
Ulisema..

Nachotaka..

Alcohol..

Hizi nyimbo zilimpa show sana..

Je wajua kundi la Wasafi mwanzo liliundwa na Diamond na Hemed na wakipiga sana show kwa pamoja kabla ya Diamond kuwa mkubwa zaidi..

Jamaa alivyoanza kubase kwenye filamu/tamthilia akaanza kufanya mziki kama starehe...

Kama unasema jamaa hajui kuimba anaimba kama anajifunza basi mwenzetu unaujua muziki kuliko sisi...Hongera
Mmmmmmhmn unajua mtu anayeweza mziki hautatumia nguvu nyingi kumtambulisha....?! Mimi kila unapotaja hilo jina la Hemedi, inakuja picha ya muigizaji wa Tamthilia za bongo movie na sio mwanamuziki au mtu anayejua kuimba.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maaanina zako, tatizo ni ubongo wako mdogo... nini wese mi nitakupiga miti mikavu bwege wewe.

Kuitwa muuza sura ni kusifiwa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1544]
Sasa kwanini usifie sura ya mwanaume mwenzio?

Bora hata utaje kazi yake kama sisi wengine au hata matusi yake

Utakuja kupakwa wese
Daah, what a wese [emoji23][emoji23][emoji23]
 
"Wakati mwingine mi nalia...mpaka nashindwa kuvumilia" [emoji445][emoji445]

Ulisema, one of the best aisee
 
Hahahahaha una mdai ? Kitombi number moja wa bongo movie kama tu wenzake wabakaji wa visani vichanga
 
Back
Top Bottom