issenye
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 3,788
- 5,217
yuko kwenye dressing table anashindana na wadada kupaka podaWakuu
Huyu jamaa sijamsikia kitambo.. kaacha music au vipi?
Kama kuna mtu mwenye info zake anijuze tafadhali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yuko kwenye dressing table anashindana na wadada kupaka podaWakuu
Huyu jamaa sijamsikia kitambo.. kaacha music au vipi?
Kama kuna mtu mwenye info zake anijuze tafadhali.
ananishinda mimi?Yupo insta huko.
Ila napenda anavyoimba😍
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ana matusi huyo n hatareeh.Huyo simfuatiliagi ...matusi kuna siku nilimfuma walah hemedi hakopeshi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Ana matusi ya mataifa mbalimbali[emoji23][emoji23]
Kwamba mkuu una sura mbaya sana kama kisusio ama?Tunatofautiana sana aisee, jamaa ukitoa sura nzuri hana lolote.
Duh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yuko Instagram, anatukana kinyama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yuko kwenye dressing table anashindana na wadada kupaka poda
Diamond kipaji tia maji?Jamaa kipaji anacho lakini ndo tatizo letu wabongo wengi discipline ni zero linapokuja suala la kuhandle pressure , kaliwezea Mondi Tu ndo mana anapepea japo kipaji Tia maji Tia maji[emoji3]
Kaachia singo moja kali Ijumaa iliyopitaWakuu
Huyu jamaa sijamsikia kitambo.. kaacha music au vipi?
Kama kuna mtu mwenye info zake anijuze tafadhali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Kwa majibu hayo huyu jamaa ameweza kuishi na Watanzania.
Eti anayo shida kichwani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maana ya hio a.k.a yake ya PHD unaifahamu kwanza mkuu?
P.H.D -Pretty Huge Dic.k
Anayo shida kichwani yule.
Hana lolote?Tunatofautiana sana aisee, jamaa ukitoa sura nzuri hana lolote.
Hana lolote?
Umewahi sikiliza nyimbo zake?
Jamaa ana kipaji sana cha kuimba.
Kwamba mkuu una sura mbaya sana kama kisusio ama?
Jikubali
Oh sawaKasemea kuigiza! Kuimba ni YES.
Tatizo wabongo wana shobo sana huko mitandaoni kutaka kupangia watu style za kuishi, sasa jamaa huwa hakopeshi ukijichanganya tu kwenye 18 zake anakupa kubwa 😂😂😂 wala hawazi!Hemed ni msanii anaeimba muziki mzuri unaoishi
Halafu habani sauti ndo anaimba hivyo hivyo na anapatia
Aliwahi kuwa mshindi wa 3 kama sikosei
Kwenye tusker project fame.huko Kenya
Tatizo jamaa linatukana sanaaa matusi ya rejareja
NanukuuSura yangu imeingiaje hapo!!