Yuko wapi Hamed Phd?

Yuko wapi Hamed Phd?

Tatizo wabongo wana shobo sana huko mitandaoni kutaka kupangia watu style za kuishi, sasa jamaa huwa hakopeshi ukijichanganya tu kwenye 18 zake anakupa kubwa 😂😂😂 wala hawazi!
Kweli lifestyle ya jamaa nimeipenda sana yaani lenyewe halikukopeshi linakupa matusi ya rejareja
 
Nanukuu
Umesema "jamaa kakuzidi sura nzuri tu"

ulitaka iweje?
Jikubali mzee

Unajua kusoma? Unajua maana ya kunukuu?

Nilisema hivi, ukitoa sura nzuri jamaa hana lolote.

Ni wapi nimejilinganisha!
 
Oh sawa
Mimi movie si mfwatiliaji mzuri Sana lakini chache nilizowahi kumuona niliona anajitahidi japo nadhani talanta yake ipo kwenye muziki.

Ni kweli, aliwahi kukaririwa akisema... anapenda na kufurahia zaidi kufanya muziki ila kinachomlipa 'angalau' ni filamu.
 
Unajua kusoma? Unajua maana ya kunukuu?

Nilisema hivi, ukitoa sura nzuri jamaa hana lolote.

Ni wapi nimejilinganisha!
Sasa kwanini usifie sura ya mwanaume mwenzio?

Bora hata utaje kazi yake kama sisi wengine au hata matusi yake

Utakuja kupakwa wese
 
Maaanina zako, tatizo ni ubongo wako mdogo... nini wese mi nitakupiga miti mikavu bwege wewe.

Kuitwa muuza sura ni kusifiwa?
Daah mwanangu we ndio P.H.D mwenyewe nini?Umtoa majibu kama yake exactly.
 
Back
Top Bottom