Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Kweli lifestyle ya jamaa nimeipenda sana yaani lenyewe halikukopeshi linakupa matusi ya rejarejaTatizo wabongo wana shobo sana huko mitandaoni kutaka kupangia watu style za kuishi, sasa jamaa huwa hakopeshi ukijichanganya tu kwenye 18 zake anakupa kubwa πππ wala hawazi!
Nanukuu
Umesema "jamaa kakuzidi sura nzuri tu"
ulitaka iweje?
Jikubali mzee
Oh sawa
Mimi movie si mfwatiliaji mzuri Sana lakini chache nilizowahi kumuona niliona anajitahidi japo nadhani talanta yake ipo kwenye muziki.
Sasa kwanini usifie sura ya mwanaume mwenzio?Unajua kusoma? Unajua maana ya kunukuu?
Nilisema hivi, ukitoa sura nzuri jamaa hana lolote.
Ni wapi nimejilinganisha!
Itakuwa anafanya movie kama biasharaNi kweli, aliwahi kukaririwa akisema... anapenda na kufurahia zaidi kufanya muziki ila kinachomlipa 'angalau' ni filamu.
Sasa kwanini usifie sura ya mwanaume mwenzio?
Bora hata utaje kazi yake kama sisi wengine au hata matusi yake
Utakuja kupakwa wese
Wekeni basi screenshots tuone[emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo wabongo wana shobo sana huko mitandaoni kutaka kupangia watu style za kuishi, sasa jamaa huwa hakopeshi ukijichanganya tu kwenye 18 zake anakupa kubwa [emoji23][emoji23][emoji23] wala hawazi!
Matusi yapo sebleni halafu yani πππ ukimgusa tu kakupaKweli lifestyle ya jamaa nimeipenda sana yaani lenyewe halikukopeshi linakupa matusi ya rejareja
Binafsi movie pekee niliyoikubali ya Hemedy ni ile wamo na Mlela ( imeshutiwa Mererani ).
Siku hizi amekuwa muuza sura sana kuliko KAZI.
Tunatofautiana sana aisee, jamaa ukitoa sura nzuri hana lolote.
Hahaaa mimi nilijua ana PHD kweli
Hana sura nzuri yeyote yule ,kwa Bongo HB naona ni Ben Kinyaiya.
Wewe waimba Nini sasaananishinda mimi?
atakua na stress sanaYuko Instagram, anatukana kinyama π€£π€£π€£π€£
Jamaa anatukana kama hana akili nzuri. Comments zake ni matusi tu.Yuko Instagram, anatukana kinyama π€£π€£π€£π€£
Daah mwanangu we ndio P.H.D mwenyewe nini?Umtoa majibu kama yake exactly.Maaanina zako, tatizo ni ubongo wako mdogo... nini wese mi nitakupiga miti mikavu bwege wewe.
Kuitwa muuza sura ni kusifiwa?
Mbavu sina!Kuna siku shabiki alimwambia 'Nguo uliyovaa umerudia' akajibu.
Kama ku.ma tu narudia sembuse nguo.