Sidhani, kama angekuwa hamkubali jina angelikata. Kuna watu alikuwa anawakubali mfano katambi. Japo alisema vijana wana tamaa lakini katambi kwake hilo halikuwa hoja alitaka agombee. Nadhani hata gambo alikuwa anamkubali otherwise jina lake lisingerudi.Gambo alikuwa hakubaliani na JPM na ndio mana akaamua kuuacha u RC na kugombea ubunge japo JPM alimtisha lakini hakurudi nyuma.
Gambo ni chaguo la wananchi na amekuwa akijipambanua bungeni.
Mara nyingi yupo Kigoma!Mara ya mwisho nilikutana nae Chato kipindi cha Buriani, hakuwa analia ila macho yake yaliongezeka wekundu na pia alishusha sana kofia yake ya kepu ya kaki na jinsi ya buluu iliyochomekwa shati nyeupe mikono mirefu. Kwa miaka 2 hii sijawahi onana nae tena ila bado ni Tiss japo atumiki tena kwa mishe ngumu. Kwa kumalizia,Anaishi kwa machale sana siku hizi na amekuwa mtu wa dini kiaina.
Vyovyote atakavyoamua mimi sidhuriki na chochote aisee.Lazima atunishe msuli,kuonyesha kwamba na yeye anaweza! Au wanaweza weka watu nyuma ya pazia,ili kuwatesa waliokua watesi wao! Naona Mafuru anazidi kupanda tu cheo! Maisha is a cycle jamani
Kisanduku kafichwa Pemba ni wa kuchukua tu kama Kuku mwenye Mdondo.Na yuko wapi Maulid Kitenge aliyemthibiti Kisanduku
Hakuna kitu cha muhimu kwenye maisha kama kujua kwamba kuna kesho na kuelewa kwamba mambo ya leo sio ya kesho.
Kisanduku Kisanduku[emoji38][emoji38]
Sema ali hapi ana bahati sana.Yes,kama humkubali kaa zako kimya tu,labda kama upo upinzani huko,lakini kama ni mwana CCM mwenzako,piga kimya,then kama unamkubali sifia sana na usiwaponde wale ambao wako against na kiongozi wenu! Sioni mbele kama kina Bashite, Bashiru,Hapi na wengine kama watakua na maisha ya Amani!
Ridhiwan sasa hivi ni Naibu Waziri wa Ardhi,kipindi cha nyuma,Makonda aliwahi sema Ridhiwan ni muuza ngada! Sijui lakini ngoja tusubiri
Asante Kwa taarifaMara nyingi yupo Kigoma!
Nimesema Gambo ndio alikuwa hakubaliani na JPM moyoni sio waziwazi, jpm hakutaka vijana wake waache cheo cha RC na kwenda kwenye ubunge.Sidhani, kama angekuwa hamkubali jina angelikata. Kuna watu alikuwa anawakubali mfano katambi. Japo alisema vijana wana tamaa lakini katambi kwake hilo halikuwa hoja alitaka agombee. Nadhani hata gambo alikuwa anamkubali otherwise jina lake lisingerudi.
Kwa Mzee hakukuwa na nguvu ya wananchi kama hakutaki ni hakutaki.
Kuitisha press ndiyo uhaini? Hii nchi ina watu wa ajabu sana.Nape siku hio alichofanya ni uhaini sema wabongo hawaelewi, yaani unaachishwa uwaziri unafanya press hapa Magufuli alifanya huruma sana.
Fafanua mkuu, ni uhaini kivipi na je huruhusiwi kufanya press ukitolewa uwaziri? So ni kipindi gani baada ya kutolewa uwaziri ndo unaruhusiwa kufanya press??Nape siku hio alichofanya ni uhaini sema wabongo hawaelewi, yaani unaachishwa uwaziri unafanya press hapa Magufuli alifanya huruma sana.
Ishu ya kuukacha uarasii ilikuwa ni tamaa ya vijana wengi kwa sababu kulikuwa na vuguvugu la kujiongezea miaka ya kukaa bungeni. Huwenda wangekaa miaka zaidi ya mitano na magufuli madarakani. Nani asinge taka kuikimbia uarasii akale mema ya nch? Likaibuka wimbi la wapinzani kutimkia ccm swala lilikuwa hilohilo tamaa ya kutafuna nchi muda mrefuGambo alikuwa hakubaliani na JPM na ndio mana akaamua kuuacha u RC na kugombea ubunge japo JPM alimtisha lakini hakurudi nyuma.
Gambo ni chaguo la wananchi na amekuwa akijipambanua bungeni.
:Mzuka wanajamvi!
View attachment 2074141
View attachment 2074142
Huyu jamaa alikuwa 'shortsighted'. Wenzake aliotumwa nao walikuwa wataratibu sana yeye kimbelembele. Sasa leo Nape kateuliwa tena kwenye Ile nafasi.
Pia Nape asingekuwa wazir tena leo kama asingejishusha na kunyenyekea kwa Jiwe siku ile akitembeza huku akirekodiwa jasho likimtoka magogoni. Jiwe angempoteza kabisa na ubunge asingeupata tena.
Siasa za Tanzania siyo burudani tu bali tunajifunza jinsi maisha yalivyo.
Mrisho Gambo naye namsifu Sana. Alishaanzaga za kibashite bashite baadaye akashtuka akawa anaenda taratibu.
Sasa sijui huyu Hapi atapona kwa mshika remote? Labda 'imani' yake huenda ikamuokoa.
Tukanyage ardhi ya Mungu kwa nidhamu.
A French saying:
Those who lose today Will win Tomorrow!
Acha uongo, mwamba yupo na hana wasiwasi kabisa. Sema yupo chimbo moja matata Sana.Mara ya mwisho nilikutana nae Chato kipindi cha Buriani, hakuwa analia ila macho yake yaliongezeka wekundu na pia alishusha sana kofia yake ya kepu ya kaki na jinsi ya buluu iliyochomekwa shati nyeupe mikono mirefu. Kwa miaka 2 hii sijawahi onana nae tena ila bado ni Tiss japo atumiki tena kwa mishe ngumu. Kwa kumalizia,Anaishi kwa machale sana siku hizi na amekuwa mtu wa dini kiaina.
Siyo kweliKisanduku kafichwa Pemba ni wa kuchukua tu kama Kuku mwenye Mdondo.
Sawa hana wasiwasi ila kwa sasa anamfikilia Nape japo Nape anajua adui yake sio Kisanduku bali ni Bashite. Mwambie huyo mwamba huko kwenye shimo la panya awe na amani shimo limezibwa kwa mkate jiwe halipo kwa sasa.Acha uongo, mwamba yupo na hana wasiwasi kabisa. Sema yupo chimbo moja matata Sana.
Mkuu jamaa na amani kabisa na anaendelea na majukumuu na wala hajifichi, anakula bata kama kawa.Sawa hana wasiwasi ila kwa sasa anamfikilia Nape japo Nape anajua adui yake sio Kisanduku bali ni Bashite. Mwambie huyo mwamba huko kwenye shimo la panya awe na amani shimo limezibwa kwa mkate jiwe halipo kwa sasa.
Hili jina sikuwahi kulisikia hadi leo hii ndiyo linaibuliwa!Na yuko wapi Maulid Kitenge aliyemthibiti Kisanduku
Hakuna kitu cha muhimu kwenye maisha kama kujua kwamba kuna kesho na kuelewa kwamba mambo ya leo sio ya kesho.
Kisanduku Kisanduku[emoji38][emoji38]
Hayo unajifariji ndugu. Wahuni wameshashika hatamu nyie CCM kamchape juakali tulieni muwaache wahuni watese ni wakati wao.Mama akumbuke kwamaba 2025 wanaccm wote tuna haki sawa ya kugombea, hana ujanja.
Mwaka 2025 sio mwaka wa kuchapisha form 1 ya urais, ni form kama zote na mimi nachukua.