Yuko wapi Henry Kisanduku aliyemnyooshea Nape bastola?

Gambo alikuwa hakubaliani na JPM na ndio mana akaamua kuuacha u RC na kugombea ubunge japo JPM alimtisha lakini hakurudi nyuma.
Gambo ni chaguo la wananchi na amekuwa akijipambanua bungeni.
Sidhani, kama angekuwa hamkubali jina angelikata. Kuna watu alikuwa anawakubali mfano katambi. Japo alisema vijana wana tamaa lakini katambi kwake hilo halikuwa hoja alitaka agombee. Nadhani hata gambo alikuwa anamkubali otherwise jina lake lisingerudi.
Kwa Mzee hakukuwa na nguvu ya wananchi kama hakutaki ni hakutaki.
 
Mara nyingi yupo Kigoma!
 
Mzee wangu nape sidhani kama ataangalia ya nyuma tena,atasonga mbele tu
 
Lazima atunishe msuli,kuonyesha kwamba na yeye anaweza! Au wanaweza weka watu nyuma ya pazia,ili kuwatesa waliokua watesi wao! Naona Mafuru anazidi kupanda tu cheo! Maisha is a cycle jamani
Vyovyote atakavyoamua mimi sidhuriki na chochote aisee.

Katika maisha nilijifunza muda mwingi nyuma kwamba kama kiongozi wako haumkubali basi hakikisha haumsemi popote yaani piga kimya kabisa na usimkosoe popote.

Na kama unamkubali hakikisha unasifia bila kuwaponda watu wengine wowote,sifia kwa uhakika wa jambo lenyewe bila kuwaponda na kuwasemanga wengine.
 
Sema ali hapi ana bahati sana.

Yule ali hapi ni mtu ambaye muadilifu,hana roho mbaya ila tu alichukuliwa na upepo wa awamu ya bwwana yulee.

Hawa wengine walikuwa na roho mbaya in nature alafu walikuwa na matukio mabovu sana.

Ila hapi alikuwa piga domo tupu hana roho ya ukatili,sijawahi kuskia bwana hapi akifanya figisu figisu kwa wapinzani kama ambavyo walikuwa wakifanya akina makonda wenzie.

Bwana hapi nadhani hiko ndicho kilichombakisha na nadhani mama samia anamjua vizuri huyu jamaa.

Haya ni maoni yangu tu
 
Nimesema Gambo ndio alikuwa hakubaliani na JPM moyoni sio waziwazi, jpm hakutaka vijana wake waache cheo cha RC na kwenda kwenye ubunge.
Gambo alikuwa na maono vinginevyo labda angekuwa mitaani kama wenzie kina Chalamila.
Nimejifunza kwa Gambo kuwa tusimamie tunachokiamini hata kama kuna vikwazo.
 
Gambo alikuwa hakubaliani na JPM na ndio mana akaamua kuuacha u RC na kugombea ubunge japo JPM alimtisha lakini hakurudi nyuma.
Gambo ni chaguo la wananchi na amekuwa akijipambanua bungeni.
Ishu ya kuukacha uarasii ilikuwa ni tamaa ya vijana wengi kwa sababu kulikuwa na vuguvugu la kujiongezea miaka ya kukaa bungeni. Huwenda wangekaa miaka zaidi ya mitano na magufuli madarakani. Nani asinge taka kuikimbia uarasii akale mema ya nch? Likaibuka wimbi la wapinzani kutimkia ccm swala lilikuwa hilohilo tamaa ya kutafuna nchi muda mrefu
 
:

Those who lose today Will win Tomorrow
 
Acha uongo, mwamba yupo na hana wasiwasi kabisa. Sema yupo chimbo moja matata Sana.
 
Acha uongo, mwamba yupo na hana wasiwasi kabisa. Sema yupo chimbo moja matata Sana.
Sawa hana wasiwasi ila kwa sasa anamfikilia Nape japo Nape anajua adui yake sio Kisanduku bali ni Bashite. Mwambie huyo mwamba huko kwenye shimo la panya awe na amani shimo limezibwa kwa mkate jiwe halipo kwa sasa.
 
Sawa hana wasiwasi ila kwa sasa anamfikilia Nape japo Nape anajua adui yake sio Kisanduku bali ni Bashite. Mwambie huyo mwamba huko kwenye shimo la panya awe na amani shimo limezibwa kwa mkate jiwe halipo kwa sasa.
Mkuu jamaa na amani kabisa na anaendelea na majukumuu na wala hajifichi, anakula bata kama kawa.
 
Na yuko wapi Maulid Kitenge aliyemthibiti Kisanduku


Hakuna kitu cha muhimu kwenye maisha kama kujua kwamba kuna kesho na kuelewa kwamba mambo ya leo sio ya kesho.

Kisanduku Kisanduku[emoji38][emoji38]
Hili jina sikuwahi kulisikia hadi leo hii ndiyo linaibuliwa!

Walimjuaje jina wakati mpiga picha alipiga kimgongo mgongo?
 
Mama akumbuke kwamaba 2025 wanaccm wote tuna haki sawa ya kugombea, hana ujanja.

Mwaka 2025 sio mwaka wa kuchapisha form 1 ya urais, ni form kama zote na mimi nachukua.
Hayo unajifariji ndugu. Wahuni wameshashika hatamu nyie CCM kamchape juakali tulieni muwaache wahuni watese ni wakati wao.
 
Unamchelewesha nini huyu - Sauti ilisikika...

Angekubali kuingia kwenye ile patrol nyeusi kwisha habari yake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…