Yuko wapi Makonda? Kwanini Serikali mnaruhusu hali hii?

Yuko wapi Makonda? Kwanini Serikali mnaruhusu hali hii?

Kuna wakati mtu anaweza kuwa katika hali ya kutaka kuokolewa lakini ikashindikana kwasababu sisi sote tunaamini yupo Serikalini hivyo atakuwa salama.
Kuna tafsiri mbaya kwamba Serikali inaweza kufanya mambo ambayo siyo majukumu yake kikatiba na katika hili wengi wamekuwa wakisikika wakiilaumu Serikali kufanya hili au lile!
Ninachoamini ni kwamba Serikali haiwezi kufanya mambo ambayo ni kinyume cha Katiba na miongozo mbalimbali bali wapo baadhi ya watu kwa kutumia koti la Serikali wanaweza kufanya mambo ambayo ni kinyume cha Sheria mama.
TZ tufikirie nje ya box tuweze kuwabaini watu ambao hawatekelezi wajibu wao na badala yake wanatumia kila aina ya mbinu kujikinga na mwamvuli wa Serikali ili kutekeleza maovu mbalimbali.
Ni wazi kuwa kuna mikakati ya maksudi ya kuingia Serikalini ili kupata fursa ya kutumia Serikali kutekeleza nia zao za kiuhalifu.
Kuna wakati inatokea japo ni mara chache baadhi ya waanga wanakwenda mahakamani kuishtaki Serikali na wanafanikiwa lakini kama inavyofahamika mwisho wa siku adhabu inayotolewa wananchi wote wanaibeba kupitia kodi zetu lakini muusika aliyetumia koti la Serikali kufanya uhalifu haguswi.
Kuna kila sababu ya kusikiliza matakwa ya watu hawa wanaohoji juu ya kiongozi wao bila kujali idadi au hoja imekaa katika mazingira gani.
Kwani kuna ugumu gani kutoa ufafanuzi ambao hauachi maswali mengi?
 
Kuna wakati mtu anaweza kuwa katika hali ya kutaka kuokolewa lakini ikashindikana kwasababu sisi sote tunaamini yupo Serikalini hivyo atakuwa salama.
Kuna tafsiri mbaya kwamba Serikali inaweza kufanya mambo ambayo siyo majukumu yake kikatiba na katika hili wengi wamekuwa wakisikika wakiilaumu Serikali kufanya hili au lile!
Ninachoamini ni kwamba Serikali haiwezi kufanya mambo ambayo ni kinyume cha Katiba na miongozo mbalimbali bali wapo baadhi ya watu kwa kutumia koti la Serikali wanaweza kufanya mambo ambayo ni kinyume cha Sheria mama.
TZ tufikirie nje ya box tuweze kuwabaini watu ambao hawatekelezi wajibu wao na badala yake wanatumia kila aina ya mbinu kujikinga na mwamvuli wa Serikali ili kutekeleza maovu mbalimbali.
Ni wazi kuwa kuna mikakati ya maksudi ya kuingia Serikalini ili kupata fursa ya kutumia Serikali kutekeleza nia zao za kiuhalifu.
Kuna wakati inatokea japo ni mara chache baadhi ya waanga wanakwenda mahakamani kuishtaki Serikali na wanafanikiwa lakini kama inavyofahamika mwisho wa siku adhabu inayotolewa wananchi wote wanaibeba kupitia kodi zetu lakini muusika aliyetumia koti la Serikali kufanya uhalifu haguswi.
Kuna kila sababu ya kusikiliza matakwa ya watu hawa wanaohoji juu ya kiongozi wao bila kujali idadi au hoja imekaa katika mazingira gani.
Kwani kuna ugumu gani kutoa ufafanuzi ambao hauachi maswali mengi?
Likizo kwa hao viongozi huwa inazidi mwezi?

Navyofahamu, likizo ina muda wake. Ambao unapangwa kwa mwaka.

Nje ya muda wa likizo iliyopangwa labda iwe dharura.

Serikali bado tu sirikali.
 
Watanzania wataacha lini kutegemea watu wanaopita? watu watengeneze mifuko itakayowasaidia kupata haki zako,maana Hawa viongozi wanapita TU. ila Hali za watu Bado zutaendelea kuminywa sehemu nyingi Kwa sababu hakuna mfumo mzuri nyanja hiyo
 
Mshaambiwa yuko likizo

Ova
Hata wakati JPM anaumwa, tuliambiwa yanayofanana na hayo..!!! Lakini wakaja na taarifa ya kufa kwake..!! Tena tulikaziwa macho haswa na kuambiwa YUPO ANACHAPA KAZI, AU MLITAKA MUMUONE MAGOMENI? As if Magomeni ni Burundi ya kwa Mwigulu..!!
 
Kwanza natanguliza samahani. Nimeona clip nyingi YouTube zikizungumza habari ambazo hazina Arya juu ya Arya ya makonda

Inasemekana kwa week mobile RC makonda hajaonekana hadharani. Kama kuna mtu ana uhakika na habari hizi au anajua huyu kipenzi cha wa Tanzania alipo atujuze
Hilo neno kipenzi cha watanzania kimenifanya nisiendelee kusoma ……
 
Hilo neno kipenzi cha watanzania kimenifanya nisiendelee kusoma ……
Ulewa wa Watanzania wa mambo nyeti uko chini sana. Makonda anawezaie kuwa kipenzi cha Wataznzania. Yule mtu mwenye zero brain anayenuka damu za watu mikononi mwake eti anaitwa kipenzi cha Watanzania???
 
Mleta hoja kama mokonda ni mumeo nenda polisi katoe taarifa kuwa humuoni mumeo home.
Acha kutuletea mambo yenu ya home humu, kuna vitu vingi muhimu vya kuongea sio haya yenu!
Ni lazima awe mke wa mkuu wa mkoa/kiongozi wa serikali ndo aweze kumuulizia?

Dhana ya uongozi wa umma unaifahamu?

Mkuu umetumia ufahamu wako kumjibu mleta mada ulivyomjibu?

Ukiwa na mfanyakazi, usipomuona kazini, ni lazima uwe mke wake ndo uweze kuuliza alipo na kwanini hafiki kazini?

Jibu lako ni la hovyo sana mkuu.
 
Mbona wakuu wa mikoa mingine hata miezi miwili inapita hawaonekami hata hamhoji wako wapi?

Why Makonda?
 
Back
Top Bottom