Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Yupo busy na ile biashara yake ya siku zote, pale Tarangire wale jamaa wamepungua snWakuu, ni muda sasa sijamsikia mwanasiasa nguli na makamu mwenyekiti wa ccm mzee Kinana; yuko wapi?
Kwa wale mliohudhuria uagwaji wa mwili wa komredi Membe pale Karimjee, mzee Kinana alikuwepo?
Nauliza kwa nia njema ili kujua juu ya mzee wetu.
Nawasilisha
UMK @ Nkotokwiana.
Tulikuwa naye kwenye party caucus chamwino jumamosi iliyopitaWakuu, ni muda sasa sijamsikia mwanasiasa nguli na makamu mwenyekiti wa ccm mzee Kinana; yuko wapi?
Kwa wale mliohudhuria uagwaji wa mwili wa komredi Membe pale Karimjee, mzee Kinana alikuwepo?
Nauliza kwa nia njema ili kujua juu ya mzee wetu.
Nawasilisha
UMK @ Nkotokwiana.
Yupo Canada kwa wiki kadhaa kwa shughuli binafsiHapana, sikutaka azurure kariakoo; niliuliza tu kama alikuwepo kwenye kuaga mwili wa komredi Membe. Vipi ulimwona?
Hahahaa"Yupo fiti ofisini anachapa kazi,ulitaka azurure kariakoo?"alisikika mlevi mmoja
Huenda yuko bize kupanga mikakati ya ushindi kwa CCM 2025😎Nauliza ili kujua juu ya mzee wetu, gwiji wa siasa za bongo. Una habari zake?
Msechu yupo studio!! Nasikia verse za Tanga Ludhoto, wakati wako Chama kilitulia, oooh umetuzalia kiongozi mzuri lakini mwizi, eeee eee nenda babaLabda amepokea pasi na kuweka gambani tusubiri Msechu atoe Songi
Akashindwaje sasa kuja kuaga mwili wa komredi?Tulikuwa naye kwenye party caucus chamwino jumamosi iliyopita
Kuulizia juu ya mtu fulani inakuwaje uchuro?Mmmmmh uchuro huu
Mnapata faraja za kishenzi za kuondokewa na Jiwe.Mkuu, kama ni kwenye mchezo wa karata hapa nimeokota garasa!
Makamu mwenyekiti ni mtu mkubwa sana kwenye chama hawezi kwenda kufanya kazi kama hizo, Chongolo na timu yake ndio wanapaswa kufanya hayo.Ameenda kulipia tenda ya mabango nchini kanada kwa ajili ya uchaguzi!!!
Una tusi jingine la kuturushia? Uwanja ni wako bwashee!
Yuko mbugani anafanya sensa ya temboWakuu, ni muda sasa sijamsikia mwanasiasa nguli na makamu mwenyekiti wa CCM mzee Kinana. Yuko wapi?
Kwa wale mliohudhuria uagwaji wa mwili wa komredi Membe pale Karimjee, mzee Kinana alikuwepo? Nauliza kwa nia njema ili kujua juu ya mzee wetu.
Nawasilisha
UMK @ Nkotokwiana.
Nchi ikipata msiba wa kitaifa ziara zote husitishwa.Itakuwa yupo ziarani kukagua madarasa yaliyojengwa kwa pesa ya Covid-19.
Nini?Imeisha
Imeisha !!Nini?