ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
Ubongo wako mdogo kuweza kudadavua mamboSalaam sana wanajamvi
Nmeona taarifa kupitia TvE tanzania leo asubui alikua anahojiwa mshiriki mwenza katika kipindi cha ucheshi kilichobamba kitambo kidogo ze comedy mpaka orijino komedi Mpoki akisema kwamba bw Joseph shamba maarufu kama vengu ambaye tuliaminishwa amepoteza maisha kwa maradhi yalokua yakimsumbua
Je vengu anaishi kweli na kipi kinasababisha aishi maisha ya kivuli au kuna nafasi nyeti anaitumikia kwa sasa?
Karibuni wenye taarifa zaidi
Kufupisha stori huyu jamaa yupo wapi na anafanya nini?
Nmegundua sio wote kweli tunaweza kuandika kitu kikaeleweka na hapo nmetumia muda mwingi sana kutype nmezoea kuandika kwa ufupi na kueleweka mniwie radhi View attachment 1796766
Hiyo taarifa inasemaje sasaSalaam sana wanajamvi,
Nimeona taarifa kupitia TvE Tanzania leo asubui alikua anahojiwa mshiriki mwenza katika kipindi cha ucheshi kilichobamba kitambo kidogo ze comedy mpaka orijino komedi Mpoki akisema kwamba Bw. Joseph shamba maarufu kama Vengu ambaye tuliaminishwa amepoteza maisha kwa maradhi yalokua yakimsumbua
Je, Vengu anaishi kweli na kipi kinasababisha aishi maisha ya kivuli au kuna nafasi nyeti anaitumikia kwa sasa?
Karibuni wenye taarifa zaidi
Sawa mkuu ni kweli usemaloUbongo wako mdogo kuweza kudadavua mambo