Yuko wapi Vengu-mchekeshaji wa comedy


Kwa babu gani?
 
Daaa inauma sana!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine wameshindwa kuutumia umaarufu wao vema, ndiyo maana hadi leo hatuna taarifa zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu si ndio yule alikuwa anadhihaki watu wagonjwa kama mh Mrema. alisahau kuwa "haujafa haujaumbika" Mungu atende miujiza aponye ili aweze kujutia aliyokuwa akiyafanya
Mkuu ilikuwa maigizo tu mkuu........na of course alikuwa anawakilisha kile alichokuwa nacho Mrema na wala sio kudhihaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…