Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Dah.Jamaa ni mgonjwa wa uvimbe kichwani na ni miaka mingi yuko kitandani
Kwao mabibo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah.Jamaa ni mgonjwa wa uvimbe kichwani na ni miaka mingi yuko kitandani
Kwao mabibo.
Masanja sio MsukumaHajaponaga tu?,,i see uchawi wa kisukuma ni mwisho..
Kwani masanja anasemaje au kishamsahau kijana wa watu?
Kama wewe mkuuNi ugonjwa gani alikuwa/anaumwa ?
Alikuwa handsome
[emoji23][emoji23]Masanja na Gwajima ni pipa na mfuniko hakuna Mungu hapo ni mapepo suguNasubiri nione comment nyingi ni zipi kati ya amefariki au anaumwa ili nijichagulie jibu tu
Ila kama anaumwa Masanja si ni Mchungaji kwanini asimwombee apone?
Hajaponaga tu?,,i see uchawi wa kisukuma ni mwisho..
Kwani masanja anasemaje au kishamsahau kijana wa watu?
MasanjaMasanja sio msukuma, wala hakuna msukuma kwenye kundi lile!
[emoji23][emoji23]masanja na gwajima ni pipa na mfuniko hakuna Mungu hapo ni mapepo sugu
Masanja
Ni Ujanjaujanja Tu
Unamaanisha kuna Gwajima aliye na shule?Masanja ni Gwajima asiye na shule!
Unamaanisha kuna Gwajima aliye na shule?
Nasubiri nione comment nyingi ni zipi kati ya amefariki au anaumwa ili nijichagulie jibu tu
Ila kama anaumwa Masanja si ni Mchungaji kwanini asimwombee apone?
Sasa kuumwa na kuoa wapi na wapi.Wenzie wote walishaoa ila yeye hadi sasa bado hajaoa sio? [emoji848]
Ubaruku Huko Lujewa!!Masanja ni Mgaya wa Mbarali ndani ndani huko!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]masanja na gwajima ni pipa na mfuniko hakuna Mungu hapo ni mapepo sugu
Mzee unazingua aliyekwambia Masanja ni msukuma nani? Hilo ni jina la uigizaji tuHajaponaga tu?,,i see uchawi wa kisukuma ni mwisho..
Kwani masanja anasemaje au kishamsahau kijana wa watu?
Na ndipo usanii ulipoKuponya mchezo!
Ni lini uliona maombezi yakifanyika hospitali?
Mwamposa Yupo Dodoma Asije Kufanya Ya MoshiNa ndipo usanii ulipo
Ina maana hao kina Joti wameshindwa kumchangia mwenza akatibiwe nje?Jamaa ni mgonjwa wa uvimbe kichwani na ni miaka mingi yuko kitandani
Kwao mabibo.