johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mama Samia tulikuwa naye juzi kwenye sherehe za miaka 44 ya CCM pale Mabwepande jimboni kwake askofu Gwajima!Mimi sijamuona Mama Samia Suluhu, yuko wapi?.
Maana mkutano mmoja alioshiriki huko Dodoma wa wadau wa lugha ya Taifa mwezi uliopita kuna watu kadhaa wameshaondoka kwa "Nyumonia"
Uzuri wa huu ugonjwa hakuna cha nani wala nani wote mnapataWanaogopa wakisema watatumbuliwa
Na wao wenye umri umri ndio wanatangulia hukoUzuri wa huu ugonjwa hakuna cha nani wala nani wote mnapata
Safi sana MUNGU siyo wakufanyiwa dhihaka na dikteta mmojaNa wao wenye umri umri ndio wanatangulia huko
Kwahiyo hapo Ufipa mnaumwa maana siyo Mbowe wala Mnyika anayeonekana hadharani?Hatari sana mkuu....Mambo ni mengi na muda mchache sana.
mmhLokidauni
Nakuona ila nimeshindwa kusoma hiyo kanga[emoji87][emoji87][emoji87]
Corona haina mwenyewe CCM kama kenge tu hauamini hadi damu ziwatokeNauliza tu maana mara ya mwisho nilimuona luningani akiwasimamisha kazi baadhi ya watoza ushuru wa TRA.
Jana nimemuona Mwigulu Nchemba akitumikia majukumu ya Waziri wa Fedha pale bungeni ndio nikajiuliza huyu Waziri nyeti kabisa yu wapi hadi Dkt. Mwigulu anatamalaki bungeni kwa niaba yake?
Maendeleo hayana vyama!
Hakika mkuu!Watanzania tuna upendo mkubwa kwa viongozi wetu!
Wana roho za kishetani!Chadema wanapenda wenzao wafe. Sijui wana roho gani hawa