Yuko wapi Waziri wa Fedha, Dkt. Mpango?

Yuko wapi Waziri wa Fedha, Dkt. Mpango?

Status
Not open for further replies.
Papa mwenyewe anaogopa corona kama nini alafu anatokea mtenda dhambi mkubwa na katili anajifanya anamjua MUNGU kuliko watu wengine na kutamba juu
Ndugu,Papa unamuona ndiye mfano wa Mtakatifu kuliko wewe mwenyewe?Mbona hapo maskani mwa Papa kuna skendo na ushahidi wa kulawiti wa watoto?Je na hapo nyumbani kwako kukiwa na skendo na ushahidi wa ulawiti utakatifu utakuwepo?
 
Papa mwenyewe anaogopa corona kama nini alafu anatokea mtenda dhambi mkubwa na katili anajifanya anamjua MUNGU kuliko watu wengine na kutamba juu
U-papa unaweza kuamini ni taasisi iliyoundwa kimkakati?na Inayotumika kupenyeza hila mbaya/Unyonyaji na uovu kwa jamii nyingine hasa ya chini kwa njia ya Imani?
 
Ndugu,Papa unamuona ndiye mfano wa Mtakatifu kuliko wewe mwenyewe?Mbona hapo maskani mwa Papa kuna skendo na ushahidi wa kulawiti wa watoto?Je na hapo nyumbani kwako kukiwa na skendo na ushahidi wa ulawiti utakatifu utakuwepo?
Waulize waliompa utakatifu na siyo mimi na kama una ushahindi kwanini usiende mahakamani?
 
Nauliza tu maana mara ya mwisho nilimuona luningani akiwasimamisha kazi baadhi ya watoza ushuru wa TRA.

Jana nimemuona Mwigulu Nchemba akitumikia majukumu ya Waziri wa Fedha pale bungeni ndio nikajiuliza huyu Waziri nyeti kabisa yu wapi hadi Dkt. Mwigulu anatamalaki bungeni kwa niaba yake?

Maendeleo hayana vyama!
Covid-19
 
Kwahiyo hapo Ufipa mnaumwa maana siyo Mbowe wala Mnyika anayeonekana hadharani?
Wako mahali salama salimini vinginevyo TBC na vyombo vya Habari vyote, hata vilivyofungiwa vingefunguliwa, vingekuwa vimetangaza hata wakiwa hospitalini. Wanaojua, hali ya Maalim Seiff ikoje?
 
Nadhani jibu la swali halijapatikana bado, mleta mada kauliza yu wapi waziri wa fedha Dr Philip Mpango? [emoji34]
 
Marehemu William Mgimwa alianza hivi hivi.
 
Sijamuona mchungaji wangu kanisani wiki ya pili yuko wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom