Google Diggers JF-Expert Member Joined Aug 29, 2015 Posts 944 Reaction score 1,138 Feb 18, 2021 #101 Mchatu ninani wewe
S sacred wall JF-Expert Member Joined Aug 9, 2017 Posts 804 Reaction score 1,322 Feb 18, 2021 #102 johnthebaptist said: Nauliza tu maana mara ya mwisho nilimuona luningani akiwasimamisha kazi baadhi ya watoza ushuru wa TRA... Click to expand... wewe si uko jikoni
johnthebaptist said: Nauliza tu maana mara ya mwisho nilimuona luningani akiwasimamisha kazi baadhi ya watoza ushuru wa TRA... Click to expand... wewe si uko jikoni
sblandes JF-Expert Member Joined Apr 25, 2010 Posts 6,632 Reaction score 4,737 Feb 18, 2021 #103 Tusiwe wajinga,Corona inauwa.Tuchukuwe tahadhari.Tuwasikilize na kushirikiana na wataalamu wa afya.Iga mfano wa Raisi Biden.
Tusiwe wajinga,Corona inauwa.Tuchukuwe tahadhari.Tuwasikilize na kushirikiana na wataalamu wa afya.Iga mfano wa Raisi Biden.
K KISIWAGA JF-Expert Member Joined Oct 22, 2015 Posts 8,022 Reaction score 16,563 Feb 18, 2021 #104 Manjagata said: Atakuwa yupo yupo tu! Hata Lukuvi walivumisha kwamba amebanwa pumzi lakini juzi kati ameonekana hadharani akisimamisha ujenzi kule Coco Beach! Kigogo mara nyingi huwa manafiki sana! Click to expand... Corona huwa na tabia ya kubana na kuachia
Manjagata said: Atakuwa yupo yupo tu! Hata Lukuvi walivumisha kwamba amebanwa pumzi lakini juzi kati ameonekana hadharani akisimamisha ujenzi kule Coco Beach! Kigogo mara nyingi huwa manafiki sana! Click to expand... Corona huwa na tabia ya kubana na kuachia
Kanali_ JF-Expert Member Joined Nov 18, 2018 Posts 6,438 Reaction score 10,180 Mar 3, 2021 #105 Bila shaka ilishafahamika alipo, tuchukue tahadhali ndugu zangu.
Liwagu JF-Expert Member Joined Jan 25, 2017 Posts 5,593 Reaction score 6,754 Mar 3, 2021 #106 Misja muona ndugai mudakidogo.