Ila biashara za magari/malori ukizuba unafilisikaHahahaaaa......maza mrangi yule akakutana na buruda wa katoliki!
Siredi zako za kipindi kile cha jiwe zikimuhusiaha mzee mgaya nilijua kijana mwenzangu tu tena ambae analala sebureni kwa shemeji [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hahahaaaa...... Marahaba bwashee!
Kitambo hicho kulikuwa pa kishua sana kwa wale wanaopenda disco lisilo na watoto watukutu,na mpaka leo huo ukumbi bado upo unaitwa DYPamba house chini kulikuwa na disco
Watu wachache sana walikuwa wanajua
Unazikumbka basi za siri yako
Ova
Mkaramo yupo kwenye dldl za tegeta -gerezaniNakumbuka bwashee yule mama tajiri alikuwa anaishi Kinondoni karibu na bwawani kama unaenda mahakamani!
Ila kuna zile Mkaramo Dar - Tanga bado ziko bwashee.
Siri Yako ilikuwa Dar - Dodoma!
Hahahaaaa..... Kitambo sana hapa town bwashee.Siredi zako za kipindi kile cha jiwe zikimuhusiaha mzee mgaya nilijua kijana mwenzangu tu tena ambae analala sebureni kwa shemeji [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Yes, Bin Kleb alikuwa KariakooMkaramo yupo kwenye dldl za tegeta -gerezani
Pia kulikuwa na bin kleb,huyu ndo amebaki na kuongeza sana utajiri wake kwa kuhamia kwenye trucks
Mkuu utakuwa hujamaliza ikiwa wale warabu wa Tanga pale magomeni kagera hujawaingiza,akina yaraab salama na yarrab toba .....nahisi bin kleb na mkaramo walikuwa eneo moja pale kkoo ya jangwani,baadae ndo akajiunga Shambalai maeneo yaleYes, Bin Kleb alikuwa Kariakoo
Chuma zake zilikuwa Dar - Songea pamoja na KAMATA!
Hahahaaaa..... Kitambo sana hapa town bwashee.
Usione namshambulia Freeman zile ni siasa tu.
Nje ya siasa ni jamaa yangu sana tu alilifanya jiji lichangamke bhana.
Nasikia vijana wa siku ubitozi wenu ni kurandaranda Mlimani City!
we kweli kitambo
Mv 118 zilikuwa zinakimbia sana Sadiq line wa dar moro alikuwa nazo, Mwendowa saa , matema beach etc .
hazikuhudumu miaka mingi zote zikawa hoi zimechoka , zilizobaki sasa ni staff bus kwa baadhi ya taasisi za serikali
Vijana siku hizi wenyewe wanakuambia tuna mishe mlimani City etcHahahaaaa..... Kitambo sana hapa town bwashee.
Usione namshambulia Freeman zile ni siasa tu.
Nje ya siasa ni jamaa yangu sana tu alilifanya jiji lichangamke bhana.
Nasikia vijana wa siku ubitozi wenu ni kurandaranda Mlimani City!
Yatakuwa wamebadili jinaHivi mabasi ya Scandinavia yalifia wapi?
Hivi ile ajali ilitokea mwaka gani,maana kuna makaburi ya pamoja pale kwenye mlimaKwani ukiwa dereva unaendesha gari kwa kuangalia taa za break za aliyeko mbele yako? Hapa sio kosa la Giriki bali la aliyekuwa anaendesha Shabiby
Kulikuwa na HekimaSafina zile za Mahenge kwa Giriki zilikuwa cha mtoto!
Salamander kulikuwa na yule muuza magazeti vijana wengi walikuwa wanakutana pale kupata habari za kikapu na na magazeti ya the Source na mengine toka mbeleVijana siku hizi wenyewe wanakuambia tuna mishe mlimani City etc
Enzi zetu mishe azam mjini na salamander..
Hapo lazima kuna connection utapata
Yoyote
Ova
JK aliyapeleka jeshini.Kampuni ilifirisika baada ya wanasiasa kuingiza mabasi yao!
miaka ya 90 mwanzoni basi leyland za abood zilikuwa zinafanya dar moro, walikuwa na honi yao exclusive , ikipigww unajua hiyo ni abood inakujaAbood anayo Leyland kama hiyo huwa inafanya shughuli za misiba pale Moro Town.
We jamaa hapana kwa kweli[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]upewe tu uzi woteNakumbuka bwashee yule mama tajiri alikuwa anaishi Kinondoni karibu na bwawani kama unaenda mahakamani!
Ila kuna zile Mkaramo Dar - Tanga bado ziko bwashee.
Siri Yako ilikuwa Dar - Dodoma!
Hii Hekima siisahauKulikuwa na Hekima
Hatari sanaYule bwana alinitoa Mbeya saa 2 asbuhi na kunifikisha Dar saa 10 jioni, nilishilikia siti mwanzo hadi mwisho
Hiyo mitaa nilikuwa napitapita sana kulikuwa na jamaa yangu pale kwa mzee Komakoma, Frank halafu alikuwepo Dougras Mpoto na John Vulata.
Hapo national housing karibu na buibui kulikuwa na bibi mmoja mkimbizi alikuwa na wajukuu zake akina Everyn Mpangala.
Fuh bwashee kitambo sana.
Kule mbele ndio unawakuta mabaharia akina Masoud, kule kwa akina Nassoro Mamba ukirudi kwa akina Sarota na yule Geza aliyechukua meli ya mafuta.
Umenikumbusha mbali sana bwashee!