Tatizo watoto wa sahvi hawataki kujaribu kutoka,kipindi cha nyuma madogo walikuwa majasiri sanaHalafu sijui ni jini gani watu waliofanya ukonda au kukatisha tiketi wale wa zamani nowdays ni matajiri wakubwa, maana michongo ya hapa na pale ilianzia stand, konda ndio alijua sukari ya zambia na malawi ikifika uyole iwekwe wapi au zile power zinaminywa chini ya chasis mzigo unatambaa, konda ndio alijua maziwa ya south hanakaa wapi, konda ndio alijua kipodozi kinafikaje mjini, siku hizi watoto wapo na vyeti ndani wamelala wanaamka mchana hata kufika ubungo kua salange hawataki, zamani zamani ikumbukwe
Sumaye alikuwa halipi Kodi alipoingia jpm akamkomalia akashindwa biashara.Hivi mabasi ya Scandinavia yalifia wapi?
Ngoma ngumu hiiWale wa songea hili ndio basi kongwe na bado linapiga kazi MATIMBULAView attachment 1771848View attachment 1771849
Madogo wa sasa wanaamini " kutoka" kupitia sanaa na siasa ndio maana wanafeli!Tatizo watoto wa sahvi hawataki kujaribu kutoka,kipindi cha nyuma madogo walikuwa majasiri sana
Ova
Nilibahatika kupanda hii Kama utalii tu toka songea town hadi wilaya ya namtumbo bado lipo SafiNgoma ngumu hii
Ova
Unajua wazee wetu zaman walikuwa na uthubutu mambo ya usela waliweka pemben japo wachache waliozamia melin walituangusha kina mzee mmoja sijui baba yake dully Sykes nadhan huyo alizinguatulikuwa naye pale magomenMadogo wa sasa wanaamini " kutoka" kupitia sanaa na siasa ndio maana wanafeli!
Zamani sanaa na michezi ilikuwa ni kwa burudani tu lakini mishe nyingine zinaendelea kama kawa.
Fikiria mtu kama Rip Macheni alianzia ukonda kwenye mabasu baadae akachukua meli ndio akafaulu.
Unajua wazee wetu zaman walikuwa na uthubutu mambo ya usela waliweka pemben japo wachache waliozamia melin walituangusha kina mzee mmoja sijui baba yake dully Sykes nadhan huyo alizinguatulikuwa naye pale magomen
Mrangi tupe ufafanuz juu ya huyu mzee mm nimemkuta na michen tu lakn maendeleo hakuna tofaut na mzee macheni
Wengi ukimwi umewaondoa.....Jamaa anaonekana ni wa jamii za Greece kabisa nilizani ni jina tu. ila hawa madereva wa miaka hiyo wengi sana walisha-RIP. mungu ampe maisha huyu jamaa
Uthubutu wa vijana wa siku hizi ni kutongoza ma sugarmammy ( wazee kuliko umri wa wazazi wao) ili wawalee! Pathetic!Unajua wazee wetu zaman walikuwa na uthubutu mambo ya usela waliweka pemben japo wachache waliozamia melin walituangusha kina mzee mmoja sijui baba yake dully Sykes nadhan huyo alizinguatulikuwa naye pale magomen
Mrangi tupe ufafanuz juu ya huyu mzee mm nimemkuta na michen tu lakn maendeleo hakuna tofaut na kina mcheni
HahahahaUthubutu wa vijana wa siku hizi ni kutongoza ma sugarmammy ( wazee kuliko umri wa wazazi wao) ili wawalee! Pathetic!
Hayo mabati hayajaoza kweli.....Wale wa songea hili ndio basi kongwe na bado linapiga kazi MATIMBULAView attachment 1771848View attachment 1771849
Lipo sawa TU chief s unajua chuma cha pua tofaut na magar ya sasaHayo mabati hayajaoza kweli.....
Lije dar sasaLipo sawa TU chief s unajua chuma cha pua tofaut na magar ya sasa
Aise si mchezoNilibahatika kupanda hii Kama utalii tu toka songea town hadi wilaya ya namtumbo bado lipo Safi
Hahaha kiukweli yule mzee alidesa mwenyewe tuUnajua wazee wetu zaman walikuwa na uthubutu mambo ya usela waliweka pemben japo wachache waliozamia melin walituangusha kina mzee mmoja sijui baba yake dully Sykes nadhan huyo alizinguatulikuwa naye pale magomen
Mrangi tupe ufafanuz juu ya huyu mzee mm nimemkuta na michen tu lakn maendeleo hakuna tofaut na kina mcheni
Hahah kumbe kazi ya ukonda wengi tumepitia....Madogo wa sasa wanaamini " kutoka" kupitia sanaa na siasa ndio maana wanafeli!
Zamani sanaa na michezi ilikuwa ni kwa burudani tu lakini mishe nyingine zinaendelea kama kawa.
Fikiria mtu kama Rip Macheni alianzia ukonda kwenye mabasu baadae akachukua meli ndio akafaulu.
Hahahaaaa...... Babake Dully ni kama babake Kigwangalla meli hazikuwasaidia kuwatoa kimaisha!Unajua wazee wetu zaman walikuwa na uthubutu mambo ya usela waliweka pemben japo wachache waliozamia melin walituangusha kina mzee mmoja sijui baba yake dully Sykes nadhan huyo alizinguatulikuwa naye pale magomen
Mrangi tupe ufafanuz juu ya huyu mzee mm nimemkuta na michen tu lakn maendeleo hakuna tofaut na kina mcheni
Haha labda walikuwa kwenye meli za wafilipinoHahahaaaa...... Babake Dully ni kama babake Kigwangalla meli hazikuwasaidia kuwatoa kimaisha!
Kama iliua wote wewe umejuaje kama sio habari za kupika hizo kwanye ajali yaani yeye awe anasababisha tuu ajali kwa wengine harafu yeye awe anapona miaka nenda miaka rudi akili za wapi hizo ushawahi kuendesha bus wewe likiwa mwendo wa kasi ni kama karatasi na mtu anaogopa gari ya kutoka nyuma sio mbele inapotokea ajali ya nyuma ni rahisi gari kuchochora zaidi...gari ya nani uguse taa ya breki akuangalie wakati hiyo kesi ya mwendokasi tuu alikua anafukuzwa kazi..
Siku nenda songea kupitia njia ya njombe halafu omba uoneshwe kona ya shabiby,ndo utajua kuwa hujui.ile ajali ilikuwa fatal,kuna makaburi ya pamoja pale pale,sikumbuki ni mwaka gani ilitokea ila imeacha alama ya kudumuKama iliua wote wewe umejuaje kama sio habari za kupika hizo kwanye ajali yaani yeye awe anasababisha tuu ajali kwa wengine harafu yeye awe anapona miaka nenda miaka rudi akili za wapi hizo ushawahi kuendesha bus wewe likiwa mwendo wa kasi ni kama karatasi na mtu anaogopa gari ya kutoka nyuma sio mbele inapotokea ajali ya nyuma ni rahisi gari kuchochora zaidi...gari ya nani uguse taa ya breki akuangalie wakati hiyo kesi ya mwendokasi tuu alikua anafukuzwa kazi...