mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Tatizo watoto wa sahvi hawataki kujaribu kutoka,kipindi cha nyuma madogo walikuwa majasiri sanaHalafu sijui ni jini gani watu waliofanya ukonda au kukatisha tiketi wale wa zamani nowdays ni matajiri wakubwa, maana michongo ya hapa na pale ilianzia stand, konda ndio alijua sukari ya zambia na malawi ikifika uyole iwekwe wapi au zile power zinaminywa chini ya chasis mzigo unatambaa, konda ndio alijua maziwa ya south hanakaa wapi, konda ndio alijua kipodozi kinafikaje mjini, siku hizi watoto wapo na vyeti ndani wamelala wanaamka mchana hata kufika ubungo kua salange hawataki, zamani zamani ikumbukwe
Ova