Ng'ombe Aliyekatika Mkia Machungani Akirudi Zizini Wenzake Watajua Hana Mkia ππ πππππNg'ombe akifa ndio Mwisho wa Mkia kucheza cheza hata kama ulikuwa active kiasi gani kuua Nzi wanaomghasi Bosi Ng'ombe
Kupe,Sisimizi,Ndorobo,Mchwa,πDuuh, kumbe jamaa nafsi inahangaika! Kwanini alichagua kuwa chawa?
Alianza kupayuka kama kawaida yake kwamba kayafa kauawa...akachukuliwa sehemu salama akatakiwa kutoa ushahidi usioacha shaka! Akashindwa ..! Na huo ukawa mwanzo wa mwisho wake kutoa tuhuma bila ithibatiHabari Wana jamvi.
Ni muda sasa umepita, sijamsikia jamaa huyu anayejiita mwanaharakati, ndugu Cyprian Musiba. Mara ya mwisho nilimsikia kama sikosei miezi minne iliyopita.
Yawezekana, wasiojulikana wametokomea naye au harakati zake zilikuwa za mtu mmoja na sio masuala yanayogusa jamii.
Yuko wapi mbona, kimya kimezidi?
Ndiyo huyoKumbe yule ndiye Musiba aisee.
Ni kweliPia anatumia Jina la Dada Tanzania yeye sikuzote haoni jema linalofanywa rais wetu kila kitu kwake ni kibaya tu, in short amekata moto kabisa,namkanya hapa hapa ""AACHE KUPIMA KINA CHA MAJI HII NI AWAMU YA SITA""
Ndiyo ni yeye piaHivi ile I'd ya Mgambilwa ni ntu humu ndio ilikua ni yake wakuu?
Nilikuta watu wanaihusisha na yule mwanaharakati njaa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Alikamatwa alichokuwa akaombwa ushahidi wa shutuma anazotoaHuyu hapo, majuzi tu baada ya kigogo kuzusha kwamba msiba amekamatwa.hii clip alikuwa anajibu kigogo
View attachment 1777248
Hivi inaweza kuwa ni kweli ndo lile jamaa?Pia anatumia Jina la Dada Tanzania yeye sikuzote haoni jema linalofanywa rais wetu kila kitu kwake ni kibaya tu, in short amekata moto kabisa,namkanya hapa hapa ""AACHE KUPIMA KINA CHA MAJI HII NI AWAMU YA SITA""
Yupo Sana tu mkuu, Facebook anajiita Veronica France, na hapa jamiiforums anajiita Nigastratatract sijuiHabari Wana jamvi.
Ni muda sasa umepita, sijamsikia jamaa huyu anayejiita mwanaharakati, ndugu Cyprian Musiba. Mara ya mwisho nilimsikia kama sikosei miezi minne iliyopita.
Yawezekana, wasiojulikana wametokomea naye au harakati zake zilikuwa za mtu mmoja na sio masuala yanayogusa jamii.
Yuko wapi mbona, kimya kimezidi?
Ndio lenyewe linatuchezeshea masarakasi tuHivi inaweza kuwa ni kweli ndo lile jamaa?
Yupo na bado anaendelea na vipost vyake.fuatilia FB.Alikamatwa alichokuwa akaombwa ushahidi wa shutuma anazotoa