Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Adhibitiwe asitorokee msumbijiKesi zake za madai alizofunguliwa Zanzibar na Dar nimepata taarifa mawakili wana kataa kumuwakilisha.
Imefikia hatua ile ya Vuga Zanzibar dhidi ya Fatma Karume itasikilizwa upande mmoja sasa.
Hali yake ni mbaya, hakutambua kuwa kuna wakati sponsor hufa! Amebaki yatima kama mbwa koko
😂 😂 😂 😂Kesi zake za madai alizofunguliwa Zanzibar na Dar nimepata taarifa mawakili wana kataa kumuwakilisha.
Imefikia hatua ile ya Vuga Zanzibar dhidi ya Fatma Karume itasikilizwa upande mmoja sasa.
Hali yake ni mbaya, hakutambua kuwa kuna wakati sponsor hufa! Amebaki yatima kama mbwa koko
Inawezekana corona ishapita pita nayeHuyu aliyekuwa anajiita Mwanaharakati huru aliyekuwa "anatetea" Mamlaka ya Urais wa Hayati John Pombe Magufuli yuko wapi? Ukimya wake katika kipindi hiki ambacho Mheshimiwa Raisi Samia Suluhu anashutumiwa kwa mambo kadhaa unatia mashaka kama kweli alikuwa anatetea "Uraisi" zaidi ya tumbo lake.
Hiyo inaitwa gwaride style yaani wa mbele anakuwa wa nyuma na wa nyuma anakuwa wa mbeleDahhhh.....
Amakweli siku zinaenda kasi sana, kilakitu kime punduka kama style ya dunia panuka...[emoji851][emoji23]
Musiba na MATAGA wenzake wooteFuraha ya Musiba soon itageuka msiba
Kama siyo corona kumfyekelea mbali basi inawezekana yupo Rwanda au burundiinapaswa wamdake kwanzaaa anyee ndoo
jamaa alikua na kauli chafu mnoooo
Tanzania hakuna wanaharakatiHuyu aliyekuwa anajiita Mwanaharakati huru aliyekuwa "anatetea" Mamlaka ya Urais wa Hayati John Pombe Magufuli yuko wapi? Ukimya wake katika kipindi hiki ambacho Mheshimiwa Raisi Samia Suluhu anashutumiwa kwa mambo kadhaa unatia mashaka kama kweli alikuwa anatetea "Uraisi" zaidi ya tumbo lake.
Mipaka ya kuchunga sana kwa kuzidisha ulinzi ni wa Rwanda na Burundi na pale sirariAdhibitiwe asitorokee msumbiji
Cyprian Musiba yupo na anaendesha akaunti huko FB inayoitwa Veronica France. Post zake ni kuponda kila hatua ambayo Rais SSH anafanya, kuwachafua JK, Nape, Januari na Ridhiwani na kupost picha za kumuenzi MwendazakeHuyu aliyekuwa anajiita Mwanaharakati huru aliyekuwa "anatetea" Mamlaka ya Urais wa Hayati John Pombe Magufuli yuko wapi? Ukimya wake katika kipindi hiki ambacho Mheshimiwa Raisi Samia Suluhu anashutumiwa kwa mambo kadhaa unatia mashaka kama kweli alikuwa anatetea "Uraisi" zaidi ya tumbo lake.
Inabidi wapigilie msumari wa mwisho wa moto kwa kuvifungia vijarida vyake na hapo atakuwa yupo msambweni kimaisha.Kesi zake za madai alizofunguliwa Zanzibar na Dar nimepata taarifa mawakili wana kataa kumuwakilisha.
Imefikia hatua ile ya Vuga Zanzibar dhidi ya Fatma Karume itasikilizwa upande mmoja sasa.
Hali yake ni mbaya, hakutambua kuwa kuna wakati sponsor hufa! Amebaki yatima kama mbwa koko
Labda alikuwa anajikumbusha ule mchezo wake ulio mfukuzisha jeshiniKuna picha moja nimeona amepiga magoti, sijui nini kilikuwa kinaendelea.
Habari Wana jamvi.
Ni muda sasa umepita, sijamsikia jamaa huyu anayejiita mwanaharakati, ndugu Cyprian Musiba. Mara ya mwisho nilimsikia kama sikosei miezi minne iliyopita.
Yawezekana, wasiojulikana wametokomea naye au harakati zake zilikuwa za mtu mmoja na sio masuala yanayogusa jamii.
Yuko wapi mbona, kimya kimezidi?
Amebadili na jinsia yake?Yupo kabadilika kidogo kwasasa anajiita Veronica france
Nafsi yangu itasuuzika sana haya yakitimia.Musiba na MATAGA wenzake woote
Hawa ni watu kwa maumbo tu lkn mioyo yao ni ya kinyamaNafsi yangu itasuuzika sana haya yakitimia.