Yuko wapi yule "Mwanaharakati Huru", Cyprian Musiba?

Yuko wapi yule "Mwanaharakati Huru", Cyprian Musiba?

Kesi zake za madai alizofunguliwa Zanzibar na Dar nimepata taarifa mawakili wana kataa kumuwakilisha.
Imefikia hatua ile ya Vuga Zanzibar dhidi ya Fatma Karume itasikilizwa upande mmoja sasa.
Hali yake ni mbaya, hakutambua kuwa kuna wakati sponsor hufa! Amebaki yatima kama mbwa koko
Adhibitiwe asitorokee msumbiji
 
Kesi zake za madai alizofunguliwa Zanzibar na Dar nimepata taarifa mawakili wana kataa kumuwakilisha.
Imefikia hatua ile ya Vuga Zanzibar dhidi ya Fatma Karume itasikilizwa upande mmoja sasa.
Hali yake ni mbaya, hakutambua kuwa kuna wakati sponsor hufa! Amebaki yatima kama mbwa koko
😂 😂 😂 😂
Ila haya maisha aisee
 
Dahhhh.....
Amakweli siku zinaenda kasi sana, kilakitu kime punduka kama style ya dunia panuka...🤓😂
 
Huyu aliyekuwa anajiita Mwanaharakati huru aliyekuwa "anatetea" Mamlaka ya Urais wa Hayati John Pombe Magufuli yuko wapi? Ukimya wake katika kipindi hiki ambacho Mheshimiwa Raisi Samia Suluhu anashutumiwa kwa mambo kadhaa unatia mashaka kama kweli alikuwa anatetea "Uraisi" zaidi ya tumbo lake.
Inawezekana corona ishapita pita naye
 
Dahhhh.....
Amakweli siku zinaenda kasi sana, kilakitu kime punduka kama style ya dunia panuka...[emoji851][emoji23]
Hiyo inaitwa gwaride style yaani wa mbele anakuwa wa nyuma na wa nyuma anakuwa wa mbele
 
Yupo anamtetea sabaya eti kaonewa,
Hali itakuwa mbaya sana kwake njaa imemkaba kama yule shehe wa bashite plus wale viongozi wa dini tusiowasikia siku hizi wakishindana kuandaa makongamano ya kumtukuza jiwe Ili walambe bahasha za kaki
 
Huyu aliyekuwa anajiita Mwanaharakati huru aliyekuwa "anatetea" Mamlaka ya Urais wa Hayati John Pombe Magufuli yuko wapi? Ukimya wake katika kipindi hiki ambacho Mheshimiwa Raisi Samia Suluhu anashutumiwa kwa mambo kadhaa unatia mashaka kama kweli alikuwa anatetea "Uraisi" zaidi ya tumbo lake.
Tanzania hakuna wanaharakati
 
Huyu aliyekuwa anajiita Mwanaharakati huru aliyekuwa "anatetea" Mamlaka ya Urais wa Hayati John Pombe Magufuli yuko wapi? Ukimya wake katika kipindi hiki ambacho Mheshimiwa Raisi Samia Suluhu anashutumiwa kwa mambo kadhaa unatia mashaka kama kweli alikuwa anatetea "Uraisi" zaidi ya tumbo lake.
Cyprian Musiba yupo na anaendesha akaunti huko FB inayoitwa Veronica France. Post zake ni kuponda kila hatua ambayo Rais SSH anafanya, kuwachafua JK, Nape, Januari na Ridhiwani na kupost picha za kumuenzi Mwendazake
 
Kesi zake za madai alizofunguliwa Zanzibar na Dar nimepata taarifa mawakili wana kataa kumuwakilisha.
Imefikia hatua ile ya Vuga Zanzibar dhidi ya Fatma Karume itasikilizwa upande mmoja sasa.
Hali yake ni mbaya, hakutambua kuwa kuna wakati sponsor hufa! Amebaki yatima kama mbwa koko
Inabidi wapigilie msumari wa mwisho wa moto kwa kuvifungia vijarida vyake na hapo atakuwa yupo msambweni kimaisha.
 
Yupo kabadilika kidogo kwasasa anajiita Veronica france
Habari Wana jamvi.

Ni muda sasa umepita, sijamsikia jamaa huyu anayejiita mwanaharakati, ndugu Cyprian Musiba. Mara ya mwisho nilimsikia kama sikosei miezi minne iliyopita.

Yawezekana, wasiojulikana wametokomea naye au harakati zake zilikuwa za mtu mmoja na sio masuala yanayogusa jamii.

Yuko wapi mbona, kimya kimezidi?
 
Hugo hapo
IMG-20210605-WA0018.jpg
 
Back
Top Bottom