tusipotoshane
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 730
- 694
Nimeposti kimakosa kiongozi.Nilimjibu mdau moja kwenye uzi alioutoa Bujibuji kuhusu Timu za Yanga na Simba kuwekewa nakshi ili zifanye vizuri.Fuatilia Uzi huo bado upo.Lakini ujumbe si umeupata kiongozi.Tusonge mbele kutoa mawazo chanya ya kujenga nchi yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji23][emoji3][emoji51]
nini hiki mkuu[emoji16][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app