Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Ulivyosindikiza msiba chato haukufanikiwa kurudi mjini mpaka leo. Pole ndo maisha lakini.Usijifanye unawajua sana wanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulivyosindikiza msiba chato haukufanikiwa kurudi mjini mpaka leo. Pole ndo maisha lakini.Usijifanye unawajua sana wanaume
Kaka mjini hatufugi fisi, Magufuli alisema watu wote watahama mjini na watakaobaki basi wao ni wanaume, sasa ukiona umebaki jipige kifua wewe ni mwanaume na ukiona hapakufai nenda kafuge bundi.Kwema Wakuu!
Yule wa ñyuma alisema atakayebaki Mjini mpaka Mwezi July ni mwanaume akiwa amelenga watu warudi vijijini hasa wasio na shughuli Rasmi, nakiri Leo hakuwa amedhamiria. Aliongea tuu. Pengine alisema lakini baadaye akaingiwa na Imani akahairisha.
Mbuzi mkata kamba anaanzaje kuhama mjini, huu ndio wakati wa kumaliza nyasi.Matokeo yake ye ndo akawa wa Kwanza kuhama mjini.
Wanaume tupo Sana hata nauli iwe buku,bia elf 10 hatuhami mjini ndo kwanza tunaongeza bidii.
Kaka mjini hatufugi fisi, Magufuli alisema watu wote watahama mjini na watakaobaki basi wao ni wanaume, sasa ukiona umebaki jipige kifua wewe ni mwanaume na ukiona hapakufai nenda kafuge bundi.
Kuna mapori mengi tu unaenda kulima asali, fuga nyuki mpaka wakuzoee wakikuona wanakushangilia.
Mie nilikuwa najiuliza hii influx ya watu kukimbilia mjini inatokana na nini na kwa nini matajiri wakarudi mashambani na wameshanunua maeneo makubwa kule Sasa sijui wale malaika wa Magufuli mtaishi wapi maana mjini pa moto na vijijini mlipakimbia mkiaminishwa matajiri wanakimbia mjini basi ndio wale walioitwa wanyonge wakawa wanaimba ule wimbo kwamba Sasa ni wakati wao (kipindi kile).
Hivi sasa kilimo kimeshikwa na wale walioitwa mashetani kipindi kile sasa masikini wamehama vijijini na wameuza maeneo yao, wale mashetani sasa wameshika kilimo na mjini wameshika masoko ni mwendo wa kula za uso tu.
Kiukweli wakati mwingine usifurahie mateso ya mwanadamu mwenzio maana nawe hujui siku yako inakuja lini.
Na mwezi wa nne sio mbali naona bei zitakuwa x3
Arusha kilo ya nyama now 10,000/=Juzi Mchele 1600 ule BEI nafuu Kwa sasa 1800
Nakujua ndio... umekimbilia chato tangu sponsor wako afe... chawa huna pa kunyonya damu....Sasa kwanini unajifanya unanijua sana?
Ok.. Kumbe wewe ndio yule mke niliemkimbia?Nakujua ndio... umekimbilia chato tangu sponsor wako afe... chawa huna pa kunyonya damu....
Wachomeee vyanzo vyao vya mapato.... shetani Wakubwa hawaKwema Wakuu!
Yule wa ñyuma alisema atakayebaki Mjini mpaka Mwezi July ni mwanaume akiwa amelenga watu warudi vijijini hasa wasio na shughuli Rasmi, nakiri Leo hakuwa amedhamiria. Aliongea tuu. Pengine alisema lakini baadaye akaingiwa na Imani akahairisha.
Anyway,
Hu
Teh teh teh mjini tumebaki vidume haswa... hata kilo ya Nyama ikifika laki hatutakimbia.Ok.. Kumbe wewe ndio yule mke niliemkimbia?
Basi pole
Balaa, haya mambo mwenye nguvu mpishe😀😀😀😀
Nimecheka Sana.
Tumezungukwa
Usihangaike na huyo mpumbavu ameachwa na mimba ya Mungu wao wa Chato. Kama mjini hapawezi akafuge bundi huko kwao.Teh teh teh mjini tumebaki vidume haswa... hata kilo ya Nyama ikifika laki hatutakimbia.
Kesharudi kijijini mkuu hapa nampiga nyundo za kichwa tu....Usihangaike na huyo mpumbavu ameachwa na mimba ya Mungu wao wa Chato. Kama mjini hapawezi akafuge bundi huko kwao.
Kwani Chato sio mjini? Kuna traffic lights na intaneshno eapoti ya njiwa na mifugo kuotea jua.Jeuri ya kukaa mjini huna wewe.
Hehehe naye alienda kumzika mungu wao?Kesharudi kijijini mkuu hapa nampiga nyundo za kichwa tu....
Tangu alivyosindikiza msiba chato hajafanikiwa kurudi mjini. Godoro lake alifanywa kutumiwa kwa bus!!
Taa zinavusha punda mkuu....Kwani Chato sio mjini? Kuna traffic lights na intaneshno eapoti ya njiwa na mifugo kuotea jua.
Teketeza masokoKwema Wakuu!
Yule wa ñyuma alisema atakayebaki Mjini mpaka Mwezi July ni mwanaume akiwa amelenga watu warudi vijijini hasa wasio na shughuli Rasmi, nakiri Leo hakuwa amedhamiria. Aliongea tuu. Pengine alisema lakini baadaye akaingiwa na Imani akahairisha.
Zimesaidia sana kupunguza ajali za ng'ombe na punda....Taa zinavusha punda mkuu....