Siku zote kwenye msafara wa Mamba na Kenge wapo,kazi inabaki kwetu ya kutofautisha Mamba ni yupi na Kenge ni yupi!!NAOMBA KUJUA KILICHOENDELEAAAA
BAADA YA MH WAZIRI WETU MPENDWA WA ARDHI JERRY SILAA KUSEMA KUNA JAJI ANASAPOTI HAWA WAHUNI KUSHINDA KESI WANAPOIBA ARDHI ZA WATU
JE MPAKA SASA TUME YA MAADILI MMESHAMWITA HUYU MTU?
JE MPAKA SASA BADO YUKO KAZIN NA HAMWONI MADHARA MAKUBWA KAMA ATAENDELEA NAHIO KAZI
JE KUNA CHUNGUZI WOWOTE UMEFANYIKA KUHUSU HUYU MTU IKIWEMO KUCHUNGUXA KESI ZAKE ZOTE ZILIZODILI NA MALALAMIKO YA ARDHI
....ITAENDELEAAAAA......
Naona mzee wangu Paul mushiNgojaa niende kunywa supu kwa mama sele haya magazeti yanawezaa kupa pressure ukajua ushapitiwa
Mamlaka ikikuamulia hutobowi hata kidogo, maana record zako zote wanazo! Ma taita wa Ngada walitamba sana,lakini baada ya serekali kuwamlia wengi wao wako nyuma ya Nondo kwa sasa! Sasa jaramba limehamia kwa matapeli wa Aridhi kina Mzee Mushi na Mmasi!!Naona mzee wangu Paul mushi
Sahvi wanambana dah [emoji1]
Ova
Paul mushi hatari sana ukisikiaa utapeli,dhuluma uko kwenye damu ndiyo yeye sasa πMamlaka ikikuamulia hutobowi hata kidogo, maana record zako zote wanazo! Ma taita wa Ngada walitamba sana,lakini baada ya serekali kuwamlia wengi wao wako nyuma ya Nondo kwa sasa! Sasa jaramba limehamia kwa matapeli wa Aridhi kina Mzee Mushi na Mmasi!!
Ile shoppers plaza mikocheni mushi unajuwa ndy aliwauziaMpwaa achatu yanamuda
Mnamkawiza tu. Nchi za watu huyu angekuwa amekula chuma siku nyingi. Angekuwa six feet underPaul mushi hatari sana ukisikiaa utapeli,dhuluma uko kwenye damu ndiyo yeye sasa π
Ova
Ah kabisa,sema mwisho wake huyu siyo mzuriMnamkawiza tu. Nchi za watu huyu angekuwa amekula chuma siku nyingi. Angekuwa six feet under
Enzo za nyerere alikuwaga smbdyMpwaa achatu yanamuda
Atakuwa na anguko baya sana huyu. Anapenda sifa. Toka mama amsifie kidogo naona pembe zimemuota mno.Waziri muhuni anajua anavojikoroga na analazimisha kutaja majaji Bungeni ili aonekane yupo sahihi anapokiuka msingi wa sheria. Tusubiri
Mkuuu arushaaa alimojgaaaa shemejiyangu mmoja wewee alichokutana nacho Allah anajuaPaul mushi hatari sana ukisikiaa utapeli,dhuluma uko kwenye damu ndiyo yeye sasa π
Ova
π mzee Paul namjuwa vzr sanaMkuuu arushaaa alimojgaaaa shemejiyangu mmoja wewee alichokutana nacho Allah anajua
Aliuma wahuni matofali cement wawahi kujenga shem akatonywq nae akaleta matofali na cement ..... akaja na wahuni wa unga Ltd na yeye na mdogowake wana mashine nzuri na wazee wa pale kati hawana uniform mkuu palijengwa usiku na nchana jama aliposikia akaenda mahakaman shem yumo ujenzi unamalizikaa aliambiwa nikikuona...itakuwa sikuyako ya mwisho
Sijamsikia tena huu ukoo wa mushi zulumath sanaa