Majaji wahuni pia wapo sana,na dawa yao ni kwenda nao kihunihuni kama tabia zao zilivyo za kihunihuni!!Waziri muhuni anajua anavojikoroga na analazimisha kutaja majaji Bungeni ili aonekane yupo sahihi anapokiuka msingi wa sheria. Tusubiri
Huyu Waziri wa Ardhi naona kama ni mnafiki tu, Kama KWELI yuko serious kabisa katika kutatua Migogoro ya Ardhi hapa nchini Tanzania, basi aanze kuifanyia marekebisho Wizara yake anayoiongoza kwa sababu hiyo ndio kinara wa kusababisha Migogoro ya Ardhi.NAOMBA KUJUA KILICHOENDELEAAAA
BAADA YA MH WAZIRI WETU MPENDWA WA ARDHI JERRY SILAA KUSEMA KUNA JAJI ANASAPOTI HAWA WAHUNI KUSHINDA KESI WANAPOIBA ARDHI ZA WATU
JE MPAKA SASA TUME YA MAADILI MMESHAMWITA HUYU MTU?
JE MPAKA SASA BADO YUKO KAZIN NA HAMWONI MADHARA MAKUBWA KAMA ATAENDELEA NAHIO KAZI
JE KUNA CHUNGUZI WOWOTE UMEFANYIKA KUHUSU HUYU MTU IKIWEMO KUCHUNGUXA KESI ZAKE ZOTE ZILIZODILI NA MALALAMIKO YA ARDHI
Leo nipashe kunaa mama kaambiwa na mahakama avunje na anahqti zotes genuine
mmjipqngewahangaawatarajiwaa
....ITAENDELEAAAAA......
Mkuu hapa umeongea ukweli mtupu.....Ila kwa huyu Waziri - nina hakika atawfikia na hao wenyeviti wa mabaraza ya ardhi....akisafisha huko, watu watakuwa wameokoa ardhi zao. Maana huko ndio matapeli wamekuwa wakikutumia kufanya uharamia wao. Hata yeye Waziri anajua hilo - alishawahi kusema.Huyu Waziri wa Ardhi naona kama ni mnafiki tu, Kama KWELI yuko serious kabisa katika kutatua Migogoro ya Ardhi hapa nchini Tanzania, basi aanze kuifanyia marekebisho Wizara yake anayoiongoza kwa sababu hiyo ndio kinara wa kusababisha Migogoro ya Ardhi.
Awasulubu kwanza Watendaji wabovu wa Ardhi wanaohusika kwenye kusababisha Migogoro ya Ardhi, bila kusahau KUPELEKA MAANGAMIZI MAKUBWA KWA WENYEVITI WA MABARAZA YA ARDHI YA WILAYA (Mahakama za Ardhi) ambazo karibia zote kabisa zilizopo zimetekwa mateka na Matapeli na/au Waporaji wa Ardhi. Mabaraza ya Ardhi ya Wilaya ni janga kubwa Sana kwa Wamiliki wa Ardhi hapa Tanzania, yamegubikwa kabisa na VITENDO VYA RUSHWA. Watu Wananchi maskini wamekuwa wahanga wakubwa wa kuporwa Ardhi zao na Matapeli wa Ardhi au Watu matajiri, Mabaraza ya Ardhi ya Wilaya yamekuwa yakibariki Utapeli au uporaji huo. Awashughulikie kwanza hao Mahakimu wa Mabaraza hayo, kwani nao ni Waajiriwa wa Wizara yake ya Ardhi.
Sisi tunataka huku juu kwa Majaji pawe clean sana,maana madudu yote ya huko chini yanakuja kufutwa huku juu kwa Majaji, sasa Majaji nao wakianza kua na tabia kama za Mabaraza ya Aridhi hii ni aibu kubwa sana! Ukisoma kesi ya Mmasi aliyoshinda huko Baraza ni ubatili mtupu na uko wazi kabisa, sasa kukosa Jaji wa Mahakama kuu kua clean asingeifutia mbali ile hukumu ya Baraza! Sasa juu pakiwa pasafi angalau watu watakua na moyo wa kukimbilia kwa Majaji ili wapate haki zao zilizokandamizwa huko chini!!Huyu Waziri wa Ardhi naona kama ni mnafiki tu, Kama KWELI yuko serious kabisa katika kutatua Migogoro ya Ardhi hapa nchini Tanzania, basi aanze kuifanyia marekebisho Wizara yake anayoiongoza kwa sababu hiyo ndio kinara wa kusababisha Migogoro ya Ardhi.
Awasulubu kwanza Watendaji wabovu wa Ardhi wanaohusika kwenye kusababisha Migogoro ya Ardhi, bila kusahau KUPELEKA MAANGAMIZI MAKUBWA KWA WENYEVITI WA MABARAZA YA ARDHI YA WILAYA (Mahakama za Ardhi) ambazo karibia zote kabisa zilizopo zimetekwa mateka na Matapeli na/au Waporaji wa Ardhi. Mabaraza ya Ardhi ya Wilaya ni janga kubwa Sana kwa Wamiliki wa Ardhi hapa Tanzania, yamegubikwa kabisa na VITENDO VYA RUSHWA. Watu Wananchi maskini wamekuwa wahanga wakubwa wa kuporwa Ardhi zao na Matapeli wa Ardhi au Watu matajiri, Mabaraza ya Ardhi ya Wilaya yamekuwa yakibariki Utapeli au uporaji huo. Awashughulikie kwanza hao Mahakimu wa Mabaraza hayo, kwani nao ni Waajiriwa wa Wizara yake ya Ardhi.
Tunataka kuona Vitendo, siyo kusema maneno tu bila vitendo.Mkuu hapa umeongea ukweli mtupu.....Ila kwa huyu Waziri - nina hakika atawfikia na hao wenyeviti wa mabaraza ya ardhi....akisafisha huko, watu watakuwa wameokoa ardhi zao. Maana huko ndio matapeli wamekuwa wakikutumia kufanya uharamia wao. Hata yeye Waziri anajua hilo - alishawahi kusema.
Sidhani kama upo sahihi kuhusu suala hili.Sisi tunataka huku juu kwa Majaji pawe clean sana,maana madudu yote ya huko chini yanakuja kufutwa huku juu kwa Majaji, sasa Majaji nao wakianza kua na tabia kama za Mabaraza ya Aridhi hii ni aibu kubwa sana! Ukisoma kesi ya Mmasi aliyoshinda huko Baraza ni ubatili mtupu na uko wazi kabisa, sasa kukosa Jaji wa Mahakama kuu kua clean asingeifutia mbali ile hukumu ya Baraza! Sasa juu pakiwa pasafi angalau watu watakua na moyo wa kukimbilia kwa Majaji ili wapate haki zao zilizokandamizwa huko chini!!
Tatizo Watumishi wa hayo mabaraza wanalalamika wanapewa malipo kidogo sana,na ndiyo maana wanashawishika na kula rushwa tena bila hata ya aibu!!Sidhani kama upo sahihi kuhusu suala hili.
Kumbuka: Uimara wa Nyumba au Jengo lolote lile huanzia na hatua ya Ujenzi wa Msingi Imara. Kama msingi wa Nyumba siyo imara, basi hata Nyumba au Jengo lote haliwezi kuwa Imara. Mabaraza ya Ardhi ya Wilaya ni Msingi kwenye suala hili.
You're completely Wrong!Tatizo Watumishi wa hayo mabaraza wanalalamika wanapewa malipo kidogo sana,na ndiyo maana wanashawishika na kula rushwa tena bila hata ya aibu!!
....“Judges and judicial officers have always been awarded ‘absolute’ immunity for their judicial acts. Absolute immunity covers even conduct which is corrupt, malicious or intended to do injury.” ....Naomba kujua kilichotokea baada ya Mheshimiwa Waziri wetu mpendwa wa Ardhi Jerry Silaa kusema kuna jaji anayeunga mkono wahuni kushinda kesi wanapoiba ardhi za watu.
Je, mpaka sasa Tume ya Maadili mmemwita huyu mtu?
Je, mpaka sasa bado yuko kazini na hamuoni madhara makubwa kama ataendelea na hiyo kazi?
Je, kuna uchunguzi wowote umefanyika kuhusu huyu mtu ikiwemo kuchunguza kesi zake zote zilizohusiana na malalamiko ya ardhi?
Leo, Nipashe kuna mama kaambiwa na mahakama avunje na ana hati zote halali.
Mjiangalie wahanga watarajiwa.
Itaendelea...
Hivi kwa nn matapeli wengi wa ardhi na majumba ni akina mangi?Mamlaka ikikuamulia hutobowi hata kidogo, maana record zako zote wanazo! Ma taita wa Ngada walitamba sana,lakini baada ya serekali kuwamlia wengi wao wako nyuma ya Nondo kwa sasa! Sasa jaramba limehamia kwa matapeli wa Aridhi kina Mzee Mushi na Mmasi!!
Kina Mangi wao ndiyo wanajifanya wanajuwa thamani ya Aridhi kuliko kabila lolote lile Tanzania, ndiyo maana wao kupigana mapanga kisa ugomvi wa Aridhi hawaoni shida!!Hivi kwa nn matapeli wengi wa ardhi na majumba ni akina mangi?