Yule Mzee aliharibu maisha ya Mabinti wengi Ila yangu aliyaharibu na kuyatengeneza mwenyewe

tiny and tempting to use as a whistle 😬😬

huge ukasukumie chapati🤣 I can see how many ideas you have

Beaty and Beast Clepatina 😊
Mkuu Gily you have bn a blessing.
You really make me happy,😂😂.
Long may you live ndugu yangu🙏
 
Maisha ni mafupi sana. Juzi tulikuwa na rafiki yetu leadermoe leo hayupo. Unatakiwa uishi na ukiisha kwenye ulimwengu wa past hiwezi ona future. Put everything behind and start living. .
Amen mkuu.
Kuacha mizigo ya jana ibaki jana na kuitazama kesho ktk mwanga chanya wa matumaini.
Pole sana kwakuondokewa na rfiki yako.
Japo sikumzoea ila iliniuma.
 
Amen mkuu.
Kuacha mizigo ya jana ibaki jana na kuitazama kesho ktk mwanga chanya wa matumaini.
Pole sana kwakuondokewa na rfiki yako.
Japo sikumzoea ila iliniuma.
Maisha ya mwanadamu ni hadithi. Nataka nisimulie na mimi ya kwangu nikumbukwe kwa mazuri pia...
bado machungu ni mabichi sana tuombe mwisho mwema. .
 
Daah! [emoji848]

Sent from my SOV37 using JamiiForums mobile app
 
nimeishia kwenye masifa ya verse ya kwanza sipendi mtu mwenye masifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…