Yule Mzee aliharibu maisha ya Mabinti wengi Ila yangu aliyaharibu na kuyatengeneza mwenyewe

Ujue nini mkuu.

Huwa naamini naamini ya kwamba Mungu ana uwezo wa kuzuia tusipatwe na lolote baya hivyo lolote baya linapotupata yeye kwa sababu anazozijua huwa anakua ameruhusu litupate akijua tunaweza kuyashinda na pia huhakikisha no mata wat roho zetu haziguswi na huwa anatuandalia tuzo mwishoni.Nadhani unafahamu kuwa ni Mungu aliyeruhusu Ayubu ajaribiwe ila akatoa sharti kuwa roho yake isiguswe.

Mungu wetu ni mwema,anatupenda na kutuwazia mema hata wakati tunapodhani yuko mbali nasi ila ukweli hajawahi kukaa mbali nasi.

Dhahabu ili ing'ae shurti ipitishwe kwenye moto mkali.
Namshukuru Mungu kwa yote,vicheko na hata machozi pia.

Tufanye mchakato nikubless japo visa stamp ya debunga mkuu.🙏
 
Watu wanaandika upuuzi sana
Mizagamuano na mapenzi vimejaa mpaka kero hata tafsida hawatumii
Wale waliokuwa wanafanya kuvutie hawaandiki tena baada ya kuvamiwa
Mada nzuri hawajibu inapelekea watu kuanzisha ujinga ili thread zisonge
Gily
Daah yaani.
Hasa hapo kwenye tafsida very shameful kwa kweli.
Watu makini wamesepa☹️
 
Watu wanaandika upuuzi sana
Mizagamuano na mapenzi vimejaa mpaka kero hata tafsida hawatumii
Wale waliokuwa wanafanya kuvutie hawaandiki tena baada ya kuvamiwa
Mada nzuri hawajibu inapelekea watu kuanzisha ujinga ili thread zisonge
Gily
Naona unamsimanga Johnnie Walker 🤣🤣🤣

Una mada nzuri ushawah weka🤣🤣🤣 hebu nitag kweny hizo mada
 

Aseee big up ban mkalimani wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…