Kuwa na ng'ombe 2000 ambao hawaleti tija yoyote,ni upuuzi tu ndio maana wanatuletea mmomonyoko wa ardhi na migogoro na wakulimaNdo mana tukiwaambia kaskazini kuna ma Don muwe mnaelewa.
Wamasai wanatakiwa wafuge kisasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na ng'ombe 2000 ambao hawaleti tija yoyote,ni upuuzi tu ndio maana wanatuletea mmomonyoko wa ardhi na migogoro na wakulimaNdo mana tukiwaambia kaskazini kuna ma Don muwe mnaelewa.
Mwanza kaskazini magharibi mwa nchi, though huku watu wamezoea kaskazini kuwa Kilimanjaro, Arusha and Manyara, kumbe kaskazini inaenda had mikoa ya Kanda ya ziwaArusha na Manyara sio Kaskazini na hakuwezi kuwa kaskazini Sir ila unaweza kupaita kaskazini mashariki!
.
Kama Arusha ni Kaskazini, Mwanza patakuwa wapi?
Mumasai anaweza kuwa na ng'ombe 7000 huku Hana nyumba Bora daily kutesa wakulimaKuwa na ng'ombe 2000 ambao hawaleti tija yoyote,ni upuuzi tu ndio maana wanatuletea mmomonyoko wa ardhi na migogoro na wakulima
Wamasai wanatakiwa wafuge kisasa
Dunia haina pande inayoitwa kanda ya ziwa wala haijawahi kuwepo.Mwanza kaskazini magharibi mwa nchi, though huku watu wamezoea kaskazini kuwa Kilimanjaro, Arusha and Manyara, kumbe kaskazini inaenda had mikoa ya Kanda ya ziwa
Sikulaumu wewe mkuu, nawalaumu sana walimu wako, kwa kukukaririsha ujingaNi nonsense tu.
Arusha inakaribiana na Singida hiyo ije kuwa kaskazini perhaps uko na uchizi mahala
Huyu jamaa hajielewi utaumiza kichwa bure ... anabisha ujinga tuMwanza kaskazini magharibi mwa nchi, though huku watu wamezoea kaskazini kuwa Kilimanjaro, Arusha and Manyara, kumbe kaskazini inaenda had mikoa ya Kanda ya ziwa
Ni wivu tu (kwa sauti ya Gwajima)definition ya billionare ni kumiliki kuanzia 1 billion dollar na kuendelea huyu bado ni millionare...
Na kubeba SembeShida vijana tunaishi life la mashindano na kuangalia mwenzako ana nini, so unakuta hapo wengi hawana subira wanataka matokeo ya harak.. Ndo mana unakuta vijana wengi wametekwa na hizi scheme za get rich quickly kama kubet na mambo ya forever living sijui nini
Na kubeba Sembe
Wewe unataka mateso?!Vijana tunataka vitu vizuri kiurahisi tu uibuke Leo maskini kesho tajiri. In short vijana wa leo hawataki mateso
Staki mateso Ila kutokujituma utegemee short cut hyo hamna, hata mubuyu ulianza ka mchicha, haukukua tu ghaflaWewe unataka mateso?!
Dunia haina pande inayoitwa kanda ya ziwa wala haijawahi kuwepo.
ziko pande kuu nne tu.
.
ukienda kwenye sources mbalimbali utaona wanakwambia Musoma ni NW ucheke uanguke ufe, huyu anatuambia Kagera ni NW nimecheka hadi nimeanguka.
Arusha ni NE na wala sio N
Acha ubishi embu angalia hiyo ramani vizuri
Hapa tunazungumzia kanda/nyanda na sio pande kuu za dunia. Tanzania imegawanywa ktk kanda kama kanda ya kaskazini, kanda ya ziwa..nyanda za juu kusini...na nyingine....Dunia haina pande inayoitwa kanda ya ziwa wala haijawahi kuwepo.
ziko pande kuu nne tu.
.
ukienda kwenye sources mbalimbali utaona wanakwambia Musoma ni NW ucheke uanguke ufe, huyu anatuambia Kagera ni NW nimecheka hadi nimeanguka.
Arusha ni NE na wala sio N
Wewe una Subira?..Huyo mshua ukute ameanza kuhustle miaka ya 1980 huko...kizazi hiki hakina subira!.hongera zake kwakweli
100%nna subira!Wewe una Subira?..
kanda ya ziwa tumeletewa na wataalamu wa siasa bongo na tumeshalizoea kabisaDunia haina pande inayoitwa kanda ya ziwa wala haijawahi kuwepo.
ziko pande kuu nne tu.
.
ukienda kwenye sources mbalimbali utaona wanakwambia Musoma ni NW ucheke uanguke ufe, huyu anatuambia Kagera ni NW nimecheka hadi nimeanguka.
Arusha ni NE na wala sio N
Ila kwenye ng'ombe ame under estimateMbu
Mbuzi wa 150,000/= hapana mimi mwezi uliopita nimechinja mbuzi kumshukuru Mungu nimesunguka duniani nimerudi zero ila mbuzi nilinunua 70 na walikuwa watatu so I gave 200k acha over estimation.