Yunus Nassoro Ali, akamatwa kwa kujifanya mtumishi wa Usalama wa Taifa "TISS"

Yunus Nassoro Ali, akamatwa kwa kujifanya mtumishi wa Usalama wa Taifa "TISS"

Huyu jamaa kwa ufupi ana akili nyingi sana kwenye upande wa forgery.

Master forgery na ilitakiwa serikali imchukue imuajiri huyu anayajua matatizo ya wananchi maana inaonekana huduma yake anaitoa kwa wananchi directly halafu bila kupiteza muda.

Nadhani watu wakitaka kupita na mizigo ku jifanya ya serikali, au ya jeshi huyu anakutolea barua zina letter head na logo, anakupa plate number hata DFP, huyu akisafiri na gari njiani trafik akimsimamisha anamfinnyia kitambulisho chenye bibi na bwana anachiwa nenda mkuu.

Huyu shida ndogondogi sijui za passport, cheti cha nida, kujifanya afisa taskforce ya kujusanya ushuru na mapato, Kukusanya hela kwa niaba ya serikali toka kwa wafanyibiashara inaonekana ndio mapigo yake. Ni mtazamo tuu simjui ila mwamba inauwezekano aliwahi kuwa jeshini au chombo kingine cha usalama akaufukuzwa kazi huwa wengi wanakuwaga hivyo.
 
Yunus nassoro alli 32yrs, mshirazi wa kilima hewa ambaye anatuhumiwa kujifanya mtumishi wa serikali "Tiss".

Anadaiwa kukamatwa na kupatikana na vitu vifuatavyo;
1) Plate number nyekundu 112

2)Plate number za njano 27

3)plate number nyekundu 12

4)Plate number za nje ya nchi 2

5)Plate number ya vespa 1 nyeupe

6) Dola 200 fake za kimarekani

7) Kadi za magari 2 ya ofisi ya raisi

8) Kitambulisho kimoja cha jeshi la wananchi -un

9) Leseni moja ya uderera ya uingereza

10) Leseni za udereva za zanzibar 82

11) Kitambulisho cha mwanafunzi wa michigan

12) State house visitor card (01)

13) Picha pasport size 5 za bakharesa

14) Kadi 4 za bank tembo na umoja na baclays

15) Fataki moja

16) Mhuri mmoja wa gsy solution co

17) Vitambulisho vya mzanzibar 4

18) Spark torture moja mbovu

19) Fimbo ya cheo ya jeshi la JKU 1

20) Vitambulisho 2 vya mpiga kura

21) Kisu cha kukatia vioo kimoja

22) Earphone inayotumiwa kwenye handset kwa mawasiliano ya tiss

23) Leseni 4 za udereva tanzania bara

24) Magamba ya magari/kadi 607

25) Flash (03)

26) Pasport za kusafiria 2 za Tanzania

27) Picha za pasport size za watu tofauti 632

28) Barua toka kmkm SMZ

29) Barua toka Jeshi la ulinzi wa Wananchi tTnzania

30) Nakala na pasport na vitambulisho vya raia wa kigeni 09

31) Stemps za zrb 13

32) Vitabu vya risiti 09

33) Form za mikataba ya makabidhiano ya shamba na mauziano ya magari na kukopesha fedha

34) Barua kutoka zaeka 1

35) Hati za makosa za ZRB 09

36) Risiti za bodi ya mapato zanzibar 45

37) Barua kutoka kamishna wa bodi ya mapato revenue 37

38) Form za maombi za visa

39) Kadi ya gari ya ali moh'd shein rais mstaafu wa zanzibar

40) Form ya maombi ya visa

41) Form za maombi ya vibati vya namba na rfid stika 03

42) Form za maombi ya leaner 05


Aidha mtuhumiwa alikuwa na gari no.Z.584 lc na lilipopekuliwa vitu vifuatavyo vimepatikana kwenye gari hilo.
1) Ufunguo wa pingu -01

2) Form ya bodi ya mapato zanzibar 01

3) Barua za toka ofisi ya dci, finger print result kumhusu jafar mahbub juma

4) Document za kupasisha magari mbali mbali

5) Certificate of registration gsy


View attachment 2148941
Kadi ya gari ya Shein kaipataje?
Original au copy?
 
Yunus nassoro alli 32yrs, mshirazi wa kilima hewa ambaye anatuhumiwa kujifanya mtumishi wa serikali "Tiss".

Anadaiwa kukamatwa na kupatikana na vitu vifuatavyo;
1) Plate number nyekundu 112

2)Plate number za njano 27

3)plate number nyekundu 12

4)Plate number za nje ya nchi 2

5)Plate number ya vespa 1 nyeupe

6) Dola 200 fake za kimarekani

7) Kadi za magari 2 ya ofisi ya raisi

8) Kitambulisho kimoja cha jeshi la wananchi -un

9) Leseni moja ya uderera ya uingereza

10) Leseni za udereva za zanzibar 82

11) Kitambulisho cha mwanafunzi wa michigan

12) State house visitor card (01)

13) Picha pasport size 5 za bakharesa

14) Kadi 4 za bank tembo na umoja na baclays

15) Fataki moja

16) Mhuri mmoja wa gsy solution co

17) Vitambulisho vya mzanzibar 4

18) Spark torture moja mbovu

19) Fimbo ya cheo ya jeshi la JKU 1

20) Vitambulisho 2 vya mpiga kura

21) Kisu cha kukatia vioo kimoja

22) Earphone inayotumiwa kwenye handset kwa mawasiliano ya tiss

23) Leseni 4 za udereva tanzania bara

24) Magamba ya magari/kadi 607

25) Flash (03)

26) Pasport za kusafiria 2 za Tanzania

27) Picha za pasport size za watu tofauti 632

28) Barua toka kmkm SMZ

29) Barua toka Jeshi la ulinzi wa Wananchi tTnzania

30) Nakala na pasport na vitambulisho vya raia wa kigeni 09

31) Stemps za zrb 13

32) Vitabu vya risiti 09

33) Form za mikataba ya makabidhiano ya shamba na mauziano ya magari na kukopesha fedha

34) Barua kutoka zaeka 1

35) Hati za makosa za ZRB 09

36) Risiti za bodi ya mapato zanzibar 45

37) Barua kutoka kamishna wa bodi ya mapato revenue 37

38) Form za maombi za visa

39) Kadi ya gari ya ali moh'd shein rais mstaafu wa zanzibar

40) Form ya maombi ya visa

41) Form za maombi ya vibati vya namba na rfid stika 03

42) Form za maombi ya leaner 05


Aidha mtuhumiwa alikuwa na gari no.Z.584 lc na lilipopekuliwa vitu vifuatavyo vimepatikana kwenye gari hilo.
1) Ufunguo wa pingu -01

2) Form ya bodi ya mapato zanzibar 01

3) Barua za toka ofisi ya dci, finger print result kumhusu jafar mahbub juma

4) Document za kupasisha magari mbali mbali

5) Certificate of registration gsy


View attachment 2148941
Waliyomkamata ndiyo wamekutumia hii picha au wewe ni miongoni mwa mliyomkamata?
 
Ukitaka kujua kuwa utapeli hautaisha, Soma huu Uzi wote ndo utajua kuna watu vilaza Sasa kaunda suti si Ni vazi la kawaida tena siku hizi kuna mpaka vile vinembo vya taifa machinga wanauza inshu ya kuwa na vitambulisho vingi inaonesha kuna watu humu hawapambani kiubishi (nida, leseni, kura, signature, muhuri wowote ule) vyote vinapatikana katikati ya mji wa mkoa unapokaa.

Sema huyo jamaa anaonekana anajua kujiposition sio Kama matapeli wengine pesa ya dhuluma kidogo tuu mtumbo huo mpaka ukimkamata unamuonea huruma
Wewe inaonekana hata Movie huangaliagi

TISS na POLICE ni idara mbili tofauti kimuundo, kimajukumu na kisheria, POLICE wana oparesheni zao na TISS wanaoparesheni zao

Mara nyingi watu wa TISS wakiwa kwenye oparesheni huwa hawajulikani na wanafanya kimya kimya na huwa hawataki kabisa police ijue maana ikijua wao wanaweza kubanwa na sheria

Mtu kama huyo huenda alikuwa kwenye mission ila kakamatwa na police usishangae kumkuta anadunda mtaani

Hii ni experience yangu niliyoitoa kwenye movie za kikorea
 
Huyu itakuwa kachokwa tu.yaani kadi ya gari ya rais anakaa nayo ya nini?.
Majibu ya alama za vidole kwake yeye vya kazi gani?
Is not professional kama wadau wengi wanavyodhani. Why keeping too much unnecessary necessary stuffs
 
Wewe inaonekana hata Movie huangaliagi

TISS na POLICE ni idara mbili tofauti kimuundo, kimajukumu na kisheria, POLICE wana oparesheni zao na TISS wanaoparesheni zao

Mara nyingi watu wa TISS wakiwa kwenye oparesheni huwa hawajulikani na wanafanya kimya kimya na huwa hawataki kabisa police ijue maana ikijua wao wanaweza kubanwa na sheria

Mtu kama huyo huenda alikuwa kwenye mission ila kakamatwa na police usishangae kumkuta anadunda mtaani

Hii ni experience yangu niliyoitoa kwenye movie za kikorea
na ndomaana hata kwenye iyo picha jamaa karilax kabisa yupo komfotable hana wasiwasi kabisa, anajua tu hapo wanajisumbua hawana pa kumpeleka wala cha kumfanya.
 
Wewe inaonekana hata Movie huangaliagi

TISS na POLICE ni idara mbili tofauti kimuundo, kimajukumu na kisheria, POLICE wana oparesheni zao na TISS wanaoparesheni zao

Mara nyingi watu wa TISS wakiwa kwenye oparesheni huwa hawajulikani na wanafanya kimya kimya na huwa hawataki kabisa police ijue maana ikijua wao wanaweza kubanwa na sheria

Mtu kama huyo huenda alikuwa kwenye mission ila kakamatwa na police usishangae kumkuta anadunda mtaani

Hii ni experience yangu niliyoitoa kwenye movie za kikorea

Hahahahaha movie na reality ni tofauti kabisa ingawa mengi wanatoa kwenye uhalisia ila mengi ni mambo ambayo hayawezekani in a real life

Sasa huyu mwamba vitu vyote hivyo iwe mission kivipi yaani mpaka vitu vya Rais mstaafu vya nini
Hebu angalia orodha hiyo number plates zote hizo Ina maana kila mission anabadili namba ama
Hata kama ni mkuu wa TISS hawezi kuwa ana namba zote hizo hata awe na mission za 007 hajafika huko
 
Huyo jamaa ni TISS kweli. Huwezi kuwa na documents zote hizo kwa kufoji au kufanya matukio. Huyo ni mwenzao ila namna alivyonasa ndio hawajaeleza na itaishia juu juu aachiwe

Basi inawezekana alikuwa anaziiba ofisini kwao na amekusanya kwa mda mrefu sana

Wengine huwa wanaiba vitu na kufanya kama souvenirs ila kwa huyu mwamba hizo souvenir zimevuka kiwango

Nimekumbuka kuna serial killers au rapist huwa wanabaki na vitu vya watu waliowauwa kama chupi au viatu au ID zao

Kwa huko ni ngumu sana kuweka ukweli wa huyu mwamba alikuwa ni nani haswa maana kama ni mmoja wa wapelelezi hawawezi kumsema kwani mpaka sasa polisi wana doa kubwa katika jamii
 
Back
Top Bottom