Yunus Nassoro Ali, akamatwa kwa kujifanya mtumishi wa Usalama wa Taifa "TISS"

Yunus Nassoro Ali, akamatwa kwa kujifanya mtumishi wa Usalama wa Taifa "TISS"

Baadhi ya vitambulisho alivyokutwa navyo
IMG-20220314-WA0056.jpg
View attachment 2149990
 
Hahahahaha movie na reality ni tofauti kabisa ingawa mengi wanatoa kwenye uhalisia ila mengi ni mambo ambayo hayawezekani in a real life

Sasa huyu mwamba vitu vyote hivyo iwe mission kivipi yaani mpaka vitu vya Rais mstaafu vya nini
Hebu angalia orodha hiyo number plates zote hizo Ina maana kila mission anabadili namba ama
Hata kama ni mkuu wa TISS hawezi kuwa ana namba zote hizo hata awe na mission za 007 hajafika huko
Kazi zao inawezekana hatuzifahamu ndio maana unajiuliza hayo madocument ya nini but trust me yanakazi
 
Yunus Nassoro Alli, 32yrs, Mshirazi wa Kilimahewa ambaye anatuhumiwa kujifanya mtumishi wa serikali "TISS".

Anadaiwa kukamatwa na kupatikana na vitu vifuatavyo;

1) Plate number nyekundu 112

2) Plate number za njano 27

3) Plate number nyekundu 12

4) Plate number za nje ya nchi 2

5) Plate number ya vespa 1 nyeupe

6) Dola 200 fake za kimarekani

7) Kadi za magari 2 ya ofisi ya raisi

8) Kitambulisho kimoja cha jeshi la wananchi -un

9) Leseni moja ya uderera ya uingereza

10) Leseni za udereva za zanzibar 82

11) Kitambulisho cha mwanafunzi wa michigan

12) State house visitor card (01)

13) Picha pasport size 5 za bakharesa

14) Kadi 4 za bank tembo na umoja na baclays

15) Fataki moja

16) Mhuri mmoja wa gsy solution co

17) Vitambulisho vya mzanzibar 4

18) Spark torture moja mbovu

19) Fimbo ya cheo ya jeshi la JKU 1

20) Vitambulisho 2 vya mpiga kura

21) Kisu cha kukatia vioo kimoja

22) Earphone inayotumiwa kwenye handset kwa mawasiliano ya tiss

23) Leseni 4 za udereva Tanzania bara

24) Magamba ya magari/kadi 607

25) Flash (03)

26) Pasport za kusafiria 2 za Tanzania

27) Picha za pasport size za watu tofauti 632

28) Barua toka kmkm SMZ

29) Barua toka Jeshi la Ulinzi wa Wananchi Tanzania

30) Nakala na pasport na vitambulisho vya raia wa kigeni 09

31) Stemps za zrb 13

32) Vitabu vya risiti 09

33) Form za mikataba ya makabidhiano ya shamba na mauziano ya magari na kukopesha fedha

34) Barua kutoka zaeka 1

35) Hati za makosa za ZRB 09

36) Risiti za bodi ya mapato zanzibar 45

37) Barua kutoka kamishna wa bodi ya mapato revenue 37

38) Form za maombi za visa

39) Kadi ya gari ya ali moh'd shein rais mstaafu wa zanzibar

40) Form ya maombi ya visa

41) Form za maombi ya vibati vya namba na rfid stika 03

42) Form za maombi ya leaner 05


Aidha mtuhumiwa alikuwa na gari no. Z.584 LC na lilipopekuliwa vitu vifuatavyo vimepatikana kwenye gari hilo.
1) Ufunguo wa pingu -01

2) Form ya bodi ya mapato zanzibar 01

3) Barua za toka ofisi ya dci, finger print result kumhusu Jafar Mahbub Juma

4) Document za kupasisha magari mbali mbali

5) Certificate of registration gsy


View attachment 2148941
Yuko vizuri
 
Either ni UNDERCOVER ai ni ISALAMA, huwezi kuzoeana na askari kirahisi rahisi tu, kwenye movie za kikorea ma UNDERCOVER au ma DETECTIVE huwa wana kitengo chao ambacho kinajitegemea wala hakifungamani na POLISI lakini kuna wakati huwa wanafanya kazi pamoja

Ndio maana kakutwa na majibu ya Fingerprint pamoja na interogation kit, sasa kama ni tapeli unataka kuniambia hivyo vitu vya nini??

Kwenye movie ikitokea pilisi na ma detectives wamekutana kwenye mission moja bila kujuana na detectives wakakamatwa huwa wakifika hawakai wanaachiwa
 
Wewe inaonekana hata Movie huangaliagi

TISS na POLICE ni idara mbili tofauti kimuundo, kimajukumu na kisheria, POLICE wana oparesheni zao na TISS wanaoparesheni zao....
Naona umedandia tren kwa mbele hakuna sehemu nimeandika polisi au tiss zaid yakusema vilaza hawataisha.

Kingine naona session zinakuchanga mpaka unshindwa kuelewa kuwa Ile n movie ikimaanisha walijipanga wakuteke wewe uwe shabiki yao Ila KWENYE uhalisia huwez kufanya hvyo.

Akiwa n mtumishi wa kule hawez kufikia hatua ya namna hyo mpaka mapicha unless wanataka kupata uhalisia wa polisi na matendo yao Ila ukumbuke polisi bara ndio wanalaumiwa sio wa zenji hvyo jamaa huenda n to kweli rejea stori za wazenji KWENYE huu Uzi wanaosisitiza kumfahamu mtuhumiwa
 
Either ni UNDERCOVER ai ni ISALAMA, huwezi kuzoeana na askari kirahisi rahisi tu, kwenye movie za kikorea ma UNDERCOVER au ma DETECTIVE huwa wana kitengo chao ambacho kinajitegemea wala hakifungamani na POLISI lakini kuna wakati huwa wanafanya kazi pamoja

Ndio maana kakutwa na majibu ya Fingerprint pamoja na interogation kit, sasa kama ni tapeli unataka kuniambia hivyo vitu vya nini??

Kwenye movie ikitokea pilisi na ma detectives wamekutana kwenye mission moja bila kujuana na detectives wakakamatwa huwa wakifika hawakai wanaachiwa
We hujawahi ona Au wasikia matapeli wakijifanya T, traffic, polisi, jeiwii
Wakiwa na vitendea kazi vyote

Huyo alikuwa anawatimbilisha watu na kuwatoa hela akijifanya Ts,

Ova
 
Kwenye picha mbona kasimama na kuweka mikono kiupole hivyo? Watakuwa wanamsingizia tu.
Unaelewa tabia ya hizo pingu mkuu?
Ukileta uzwazwa utakatika mikono, hazina mwisho wa kukaza, lazima tu mtu astaarabike akisha taimiwa kufungwa nazo hizo!
 
Jamaa anaonekana kama Tai kweli vile. Usikute ni ex-eagle aliyechomeshwa na eagles wenzake. Rejea kisa cha Lt. Urio na wanafunzi wake wa Ngerengere.
Ni kipepeo mzuri tu hyo bwana,na anafanya issue kibao tu za gvmnt na system inamtambua vizuri MNO.
Hapo Ni kwamba kayatimba kwa namna nyingine kwa WAZEE wameamua kumkalia kooni na mwamba kawadindia mpka kufikia hatua ya kumfanyia upekuzi,
Kuna mawili;
Moja yawezekana ikawa Ni MOVIE LEO tunachezeshwa (Bastola haijahusishwa)
ili vitu vingine viendelee, au Kajichanganya akiwa kwenye mission isiyokuwa inataka kuwahusisha WAZEE.
Plus field kumchosha(kuzoeleka).
Sidhani km Kuna mtanzania ataweza ku invest muda wa kufuatilia na kuwa na such evidence alizokutwa nazo.
Hyo Ni Tai,a.k.a kipepeo,mkuda, snitch, eagle,mning'inio,tandu,buibui,nguruwe mweusi,Twiga cement [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom