THE SHADOW ONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,201
- 1,974
Alikosea padogo sana, akienda huko atakutana manguliii.Hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikosea padogo sana, akienda huko atakutana manguliii.Hatari
Hata ww unaweza shoneshana hayo mashati ya usalama amekutwa nayo mangapi? nataka kujua kama ni kosa kisheria maana mim ninayo 9
Hua yakoje brazaMbona kavaa mashati ya usalama
Hautatoboa kokoteAsanteeeeeeeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23].
Huyo ni mtu na nusu.
Na Mimi nimepanga nikinunua gari naweja plate number ya JWTZ
sipendi usumbufu
Hautatoboa kokote
Mbona mi ninayoHautatoboa kokote
Unamkumbuka mwamba Tito wa Yugoslavia ambaye hata Stalin na ubabe wake alimshindwa mkuu?hahahahaha umenichekesha sana, umenikumbusha vijana wa Kiromania pale Bucharest au Sofia Bulgaria.....Nigerians hapo bado chekechea sana..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahyupo full hapo hata ukitaka kuiona Talaka ya Malikia Elizabeth yeye anayo [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee mlongo nimecheka mnooo. KhaaahHuyo kweli mwamba
Yaan makolokolo Zaid ya 50+
Nadhan had hati ya kifo Cha Michael Jackson anayo huyo s kwa kujikoki huko
Kifup ametisha
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukute Kuna mwenzake mwenye kitambulisho fake Cha waziri kaja kumuwekea dhamana
Uncle una lipi la kusema hapa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwamba alikua na ofc ndogo na masijala nyumbani
Kanifurahisha Hadi passport za Bakharesa 😆😆😆😆Ukitaka hata cheti cha Harvard chap unapewa[emoji38]