Binafsi ingawa sina mke lakini naona ni bora mke awe na uhuru na sehemu yake.
Pangeni budget, ukishajua matumizi yote ya chakula nyumbani ni kiasi gani unatenga fungu unampa. Mwanamume kuanza kudeal na mambo ya jikoni directly ni kukosa kazi.
Mwanamume unapaswa kuwaza mambo makubwa kama ujenzi, kodi ya nyumba, ada za WATOTO, kuongeza kipato n.k
Ikitokea emergency mnakaa mnajadili mtatatua vipi.
Hakuna kitu sikipendi kama uko busy umekaa tena sometimes na mgeni unaanza tena kuambiwa mboga ya jana iliisha, au kiberiti kiliisha.