Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,084
Ku save Pesa ya bia?Kuna wanawake wengine unamwachia pesa ananunua vitu substandard , anapeleka pesa, vikoba, na kuservu pesa ya bia
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni kahaba sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ku save Pesa ya bia?Kuna wanawake wengine unamwachia pesa ananunua vitu substandard , anapeleka pesa, vikoba, na kuservu pesa ya bia
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu atakua si mzima wa akiliMajibu sahihi anayo mwanamke kwa swali lako kama unavyotaka wajibu.
Mimi kama mimi ni bora kununua vitu na kuviweka ndani maana uzuri umewazidi nguvu wanawake na kupelekea baadhi ni bora akanunue carolight kuliko unga wa kula na watoto.
Hivyo vikoba we hufaidiki navyo mkuuKuna wanawake wengine unamwachia pesa ananunua vitu substandard , anapeleka pesa, vikoba, na kuservu pesa ya bia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili swal zuri sana au unamwachia hsgirlKwa sisi ambao wake zetu nao wanafanya kazi na tunaondoka wote asubuhi, hela tunaacha au la?
Kwakweli huyu hafaiKu save Pesa ya bia?
Huyo ni kahaba sasa.
Kua uyaone.Inawezekanaje mkeo akawa mpigaji au unaongelea mahawara.
Mimi nitanunua vitu naweka ndani.
Huyu atakua si mzima wa akili
Kelele mbili kwa Maya ake weyeeeeeeee.!Mbaga katika ubora wako
Piga kelele moja kwa wapare weuweee
Kama mwanamke ni mswahili swahili atapenda kuachiwa cash kila siku.Habari za saizi wakuu,
Poleni kwa majukumu ya kila siku moja kwa moja niende kwenye point.
Kati ya hawa ni yupi mzuri zaidi, mwanaume anaeacha pesa ya matumizi nyumbani na mwanamke ndio anaepanga matumizi au mwanaume anaenunua kila kitu cha ndani na kama kuna matumizi ya ziada yakubidi uombe pesa kwa kutolea maelezo.
Una mawazo ya kizamani sana, sikushauri uoe mchagga au uje uishi huku ughaibuni.Binafsi ingawa sina mke lakini naona ni bora mke awe na uhuru na sehemu yake.
Pangeni budget, ukishajua matumizi yote ya chakula nyumbani ni kiasi gani unatenga fungu unampa. Mwanamume kuanza kudeal na mambo ya jikoni directly ni kukosa kazi.
Mwanamume unapaswa kuwaza mambo makubwa kama ujenzi, ada za WATOTO, kuongeza kipato n.k
Ikitokea emergency mnakaa mnajadili mtatatua vipi.
Hakuna kitu sikipendi kama uko busy umekaa tena sometimes na mgeni unaanza tena kuambiwa mboga ya jana iliisha, au kiberiti kiliisha.
Kwaiyo mzungu anapenda anunuliwe kila kitu ndani??Kama mwanamke ni mswahili swahili atapenda kuachiwa cash kila siku.
Mimi ninachofanya naenda sokoni nanunua mchele unga na kila kitu cha ndani kiwemo kisha naacha na pesa ya kununua chipsi pale anapotamani au vitu vidogo vidogo hivi.Habari za saizi wakuu,
Poleni kwa majukumu ya kila siku moja kwa moja niende kwenye point.
Kati ya hawa ni yupi mzuri zaidi, mwanaume anaeacha pesa ya matumizi nyumbani na mwanamke ndio anaepanga matumizi au mwanaume anaenunua kila kitu cha ndani na kama kuna matumizi ya ziada yakubidi uombe pesa kwa kutolea maelezo.
Ya vitu vidovovidogo sasa wengine wanataka kila kitu wanunue wao vikikosekana muanze kuitana baba nani chumvi imeishaInapendeza zaidi akinunua vitu vyote na kuacha pesa pia.