REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Umeongea pointi sana, haya vijana ambao hamjaoa pitiezi huu uzi huu ndio ukweliUkipata mwanamke mwenye financial discpline hamna shida. Kuna wengine unamwambia piga budget ya mwezi,anapiga unampa. Hata nusu mwezi bado anakwambia hela ya chakula imeisha,ukifuatilia vzr ametumia kwa mambo ya kipuuzi. Kuna baadhi ya wanawake ukishawapa hela wanapata uchizi,mpaka iishe ndio wanakaa sawa.
Vijana wa siku hizi wamekuwa wagumu kuelewa hili thenSikilizeni nyie vijana... mwanaume jabali na wa kweli kama sisi wakongwe hufanya yote. Unanunua mahitaji yote muhimu kwa jumla unavibwaga ndani hapo. Afu kuna vitu vingine havinunuliki kea jumla. Unatoa bulungutu unamrushia wife kitandani... unampa busu moja mwanana na kauli ya kiumeni "tutaonana tena tarehe kama ya leo mwezi ujao"
Hata urudi umeelewa saa saba usiku, utaambiwa pole kwa majukumu mume wangu
Kununua vitu vya mwezi mzima ndo mpangoKutoka kwangu mpaka dukani kuna umbali wa 1.5 Km wife hajui kudrive, mwanzo wa mwezi inabidi niende kununua vitu vya jumla vya mwezi mzima!
Kila Jumamosi naenda gulioni namnunulia vitu vya wiki nzima kutokana hivyo hata nikimuachia hela hawezi kudrive kwenda sokoni! Je nakosea!??
Na unaacha ela ya vitu vidogovidogo au ndo imetoka hiyokununua vitu vya mwezi mzima ndo mpango
UZI UMEUFUNGA WEWE! SALUTE! JABALI!Sikilizeni nyie vijana... mwanaume jabali na wa kweli kama sisi wakongwe hufanya yote. Unanunua mahitaji yote muhimu kwa jumla unavibwaga ndani hapo. Afu kuna vitu vingine havinunuliki kea jumla. Unatoa bulungutu unamrushia wife kitandani... unampa busu moja mwanana na kauli ya kiumeni "tutaonana tena tarehe kama ya leo mwezi ujao"
Hata urudi umeelewa saa saba usiku, utaambiwa pole kwa majukumu mume wangu
Nawe una kitu cha kufundisha, asante, nimeelewa na kujifunza kitu hapoMimi kipato Changu ni cha kuunga unga
Mara nyingi huwa kuna issue nasikilizia.
Kila Mwisho wa Mwezi huwa nampa 900,000/= TZS cash kwa Matumizi yafuatayo
1. Chakula cha Mwezi mzima (Mimi + Yeye + Dada wa kazi + Mtoto Mmoja)
2. Bills za Umeme
3. Maji
4. King’amuzi Azam
5. Mshahara wa Dada wa kazi
6. Vitu vya Mtoto Mdogo Diaper
7. Nguo za Mama na Mtoto
8. Vinywaji Soda na Juice
9. Vocha ya Mama
10. Nauli zake za kuzurura Nyumbani (Yeye ni Mama wa Nyumbani)
Majukumu yangu
1. Emergency za hapa na pale nahusika
2. Kodi ya kibanda tunachokaa
3. Ujenzi
4. Mafuta na Marekebisho ya Pikipiki ya Familia
5. Afya na Matibabu
7. Mambo ya ndugu , wazazi marafiki
8. Uwekezaji
9. Ukarabati wa kitu Chochote cha Nyumbani
10. Matumizi yangu Binafsi Mjini
11. Michango yote ya Mtaani, Jumuiya, Kanisani
Sasa hapo sijui niko sawa au kuna sehemu nazingua . Ushauri wenu wakuu
Huyo muongoUmetisha Sana kwa hiyo bajeti ya kipato cha kuunga unga,uko sahihi sana
Na yeye ana ndugu na wazazi piaKama kijola unamnunulia hiyo ela nyingine anafanyia nini
nahitaji bajeti ya mwezi au miezi miwili hivyo vidogo vidogo unavijumlisha humo humoNa unaacha ela ya vitu vidogovidogo au ndo imetoka hiyo
Habari za saizi wakuu,
Poleni kwa majukumu ya kila siku moja kwa moja niende kwenye point.
Kati ya hawa ni yupi mzuri zaidi, mwanaume anaeacha pesa ya matumizi nyumbani na mwanamke ndio anaepanga matumizi au mwanaume anaenunua kila kitu cha ndani na kama kuna matumizi ya ziada yakubidi uombe pesa kwa kutolea maelezo.
[emoji109][emoji109][emoji109]Mimi kipato Changu ni cha kuunga unga
Mara nyingi huwa kuna issue nasikilizia.
Kila Mwisho wa Mwezi huwa nampa 900,000/= TZS cash kwa Matumizi yafuatayo
1. Chakula cha Mwezi mzima (Mimi + Yeye + Dada wa kazi + Mtoto Mmoja)
2. Bills za Umeme
3. Maji
4. King’amuzi Azam
5. Mshahara wa Dada wa kazi
6. Vitu vya Mtoto Mdogo Diaper
7. Nguo za Mama na Mtoto
8. Vinywaji Soda na Juice
9. Vocha ya Mama
10. Nauli zake za kuzurura Nyumbani (Yeye ni Mama wa Nyumbani)
Majukumu yangu
1. Emergency za hapa na pale nahusika
2. Kodi ya kibanda tunachokaa
3. Ujenzi
4. Mafuta na Marekebisho ya Pikipiki ya Familia
5. Afya na Matibabu
7. Mambo ya ndugu , wazazi marafiki
8. Uwekezaji
9. Ukarabati wa kitu Chochote cha Nyumbani
10. Matumizi yangu Binafsi Mjini
11. Michango yote ya Mtaani, Jumuiya, Kanisani
Sasa hapo sijui niko sawa au kuna sehemu nazingua . Ushauri wenu wakuu
Me navopenda kula vizuri, mboga na mazagazaga mengine nanunuaga mwenyewePesa, ili zibaki chenji za vicoba...