REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Umeongea pointi sana, haya vijana ambao hamjaoa pitiezi huu uzi huu ndio ukweliUkipata mwanamke mwenye financial discpline hamna shida. Kuna wengine unamwambia piga budget ya mwezi,anapiga unampa. Hata nusu mwezi bado anakwambia hela ya chakula imeisha,ukifuatilia vzr ametumia kwa mambo ya kipuuzi. Kuna baadhi ya wanawake ukishawapa hela wanapata uchizi,mpaka iishe ndio wanakaa sawa.
Kama mkeo unampa pesa na anapanga budget inaenda vizuri sema asante Mungu
Maana wapo wanawake ni vimeo hawafai kuachia hata buku anunulie watoto mkate wa chai asubuhi utashangaa watoto anawapa chai kavu yeye anaenda kwenye vikoba