King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mwanaharakati Huru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Musiba huyu hapa wakuu yupo bado akili zake ni zile zileAcha chuki binafsi we mlevi, utakufa kabla ya wakt wako, mpe mmeo haki yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha kusengenyana na wanaume NYAMBAFU WEWE
Sasa mzee, tangu umetungwa tumboni kwa mama yako ulikuwa unalalamika, lawana ziko kwenye vina saba vyako #mgiriki Jr VI, hujawahi acha kulalamika hata kwenye threads zako, huna threads hata moja inayoleta suluhisho ni lawana tu na maswali labda na threads za kupastiwa, sasa endelea kumuunga mkono huyo mwana mama aliyejawa na nyongo, mzandiki na chuki binafsi ili na wewe tukusajili huko BAWACHA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] woe to you poor Greece, for u have fallen and u will never stand stay out my way dear buddyMusiba huyu hapa wakuu yupo bado akili zake ni zile zile
Uwepo wa upinzani ilikuwa fursa kwao sasa hivi upinzani haupo wanajutaKwa wale wanamkumbuka huyu jamaa iikuwa haipiti week anakuja na nondo hatari
Je yupo wapi siku hizi hata magazeti yake pia hayasikiki sana, yupo wapi?
Juna Lokole umekuja jukwaa la siasa?Acha chuki binafsi we mlevi, utakufa kabla ya wakt wako, mpe mmeo haki yake[emoji1787][emoji1787][emoji1787] acha kusengenyana na wanaume NYAMBAFU WEWE
Hili jibu linaitwa " Kata Maini"Sasa mwanaume anaeshindana na wanawake nae anakupotezea muda!
Mwanaharakati Huru.
Yeye ni daktari wa Maalim?Lakini mbona bado yupo na harakati zake, juzi nimemsikia katika Youtube akihojiwa na mwandishi wake (Tanzanite journalist) kuhusu Corona iliyompata Maalim Seif, akisema kwamba Maalim hakuwa/hana Corona bali kajidai kuwa anayo Corona----, na akadai kuwa baadaye atatoa taarifa hiyo kwa kina.
Amepunzika kwa amaniKamanda Musiba yupo sana tu. Baada ya uchaguzi alisema amemaliza kazi yake ya kuwasambaratisha wapingaji kwa hiyo amepumzika.
Mbona sasahivi haonekani kumsifia jiwe?Bado hatujawasahau Bashite ana damu mikononi ......muda tu utafika jinai haina muda
Shida ya corona inawaogopa watu wa hovyo hovyo wasio na faida duniani, inaondoka na watu wema tu.Kama unamuona Musiba anatoa nondo basi wewe ni wa kuhurumiwa. Musiba alitembelewa na matatizo ya upumuaji wiki iliyopita lakini Mungu hakumpenda zaidi bado tunae.