Yupo wapi dereva teksi alyefichua njama za kumpindua Nyerere mwaka 1982? Je, alilipwa chochote kama ‘asante’?

Yupo wapi dereva teksi alyefichua njama za kumpindua Nyerere mwaka 1982? Je, alilipwa chochote kama ‘asante’?

Mapinduzi yakitokea Kila mtu anataka kuwahi fursa ndio maana JPM alivyofariki wakatamani wachukue kiti ila hawakuweza sababu katiba ndio ilikua inafuatwa ila yangekua mapinduzi ungesikia Bashiru kajitangaza Rais, mara Mabeyo naye kapindua, ghafla Samia naye anaunda jeshi la waasi inakua vurugu tupu.

So mapinduzi sio ya kushabikia hata kama tulimchoka Nyerere hali ingekua mbaya zaidi maana madaraka yangebaki bado CCM ila Kwa Wezi zaidi.
Mapinduzi ya kijeshi huwa ni UNAJISI katika nchi.....
 
Mkuu hii ndio principle kwenye intelligence kwamba haondolewi mtu mpaka ijulikane ombwe litazibwa na nani?

Uganda walimtoa Amin wakapita Marais kama 10, Same to Burundi waliompindua Rwagasore wakapita Marais kibao hapo kati nao ikawa mchezo kupinduana. Na hii ni case kwa nchi nyingi tu stability ilipotea baada ya mapinduzi.

So hapa sipingi serikali kubadilika ila sio kwa mapinduzi maana ombwe linabaki wazi so inakua gombania goli
Exquisite exquisite exquisite [emoji2956][emoji7]
 
Historia ya serikali ya nchi hii ina Mengi na Mengi hayo hatuyajui.

Kina Hanspope, Maganga, Tamimu na wengine wengi walipanga kumuua na kuipundua serikali ya Mwl Nyerere.

Inadaiwa dereva teksi aliyekuwa akiwasafarisha wapanga mapinduzi kuhudhuria vikao vyao vya Siri alibaini mpango wao na kuripoti kwa vyombo vya usalama.

Muda umeenda Sasa, huyu dereva teksi ni nani? Yupo wapi Sasa? Alilipwa nini na serikali Kama shukurani ya kuinusuru nchi?
Yupo Gado
 
Historia ya serikali ya nchi hii ina Mengi na Mengi hayo hatuyajui.

Kina Hanspope, Maganga, Tamimu na wengine wengi walipanga kumuua na kuipundua serikali ya Mwl Nyerere.

Inadaiwa dereva teksi aliyekuwa akiwasafarisha wapanga mapinduzi kuhudhuria vikao vyao vya Siri alibaini mpango wao na kuripoti kwa vyombo vya usalama.

Muda umeenda Sasa, huyu dereva teksi ni nani? Yupo wapi Sasa? Alilipwa nini na serikali Kama shukurani ya kuinusuru nchi?
Hii kitu mbona kama mpya hivi!!!!
 
Nadhani wanamtandao walikuja kuwatoa kimaso maso miaka ya 2005 walipoingia kivingine na kuleta maisha bora KWA watz!!!!

Adhma ya wajeda kushika chama ikafanikiwa KWA mgongo wa demokrasia!

Huwa najiuliza hawa wanamtandaor wasingeshika hatam hali ya maisha ya mtz ingekuaje aiseh coz ujamaa ulikua msoto sana kiasi chake!!!
Usipolidhibiti Jeshi....kwa nchi zetu za kiafrika basi ujue kila uchao ni mapinduzi tu ......

Hayati JKN anabaki kuwa kiongozi bora kuliko wote Afrika....

Siempre El Commandante JKN,amen[emoji120]
 
Kwani Edward Mondlane na Samora Machel walipouawa, Msumbiji (au FRELIMO) kulitokea ombwe la uongozi?
Ombe baada ya kifo Cha Mondlane? Ndio na kulitokea vita ya miaka mingi sana almost 15 years vita ilipelekea vifo Million 1....
Mindi you Mondlane hakupinduliwa yalikua mauaji tu, ila case ya Nyerere angepinduliwa well and good kiti angekalia nani JWTZ? TANU? Upinzani kina Kambona? Hayo ndio yangetuletea vita ya miaka nenda rudi.

Tuweke tume huru Rais aingie kwa haki ila mambo ya kupinduana sio ya kushabikia
 
Niliona mtandao u tubu nafikiri sikumbuki vizuri, aliyekuwa dereva wa Kenyatta Jomo ambaye na mwanaye Uhuru wote walikuwa marais kwa vipindi tofauti. Hiyo nyumba anayo ishi na hayo maisha, ngachoka kabsa! Lazima na,nachekea kusema hayo ni masharti ya kimaagano kuwa asisaidike.
 
Hii kitu mbona kama mpya hivi!!!!
Hatukuwepo....

Ila yameandikwa vitabuni na magazetini....

Nilipokuwa shule ya msingi nilikuwa najisomea nakala ya gazeti la RAI kila wiki....nikapata kuwajua akina LUTENI LUGAKINGIRA ,EUGENE MAGANGA ,UNCLE TOM ,TAMIMU ,HATTY MC GHEE na wengineo.....

Tupende kujisomea....

Maarifa hupatikana humo....

#SiempreJMT[emoji120]
 
Ombe baada ya kifo Cha Mondlane? Ndio na kulitokea vita ya miaka mingi sana almost 15 years vita ilipelekea vifo Million 1....
Mindi you Mondlane hakupinduliwa yalikua mauaji tu, ila case ya Nyerere angepinduliwa well and good kiti angekalia nani JWTZ? TANU? Upinzani kina Kambona? Hayo ndio yangetuletea vita ya miaka nenda rudi.

Tuweke tume huru Rais aingie kwa haki ila mambo ya kupinduana sio ya kushabikia
Awesome [emoji2956]

#Mapinduzi Ya Kijeshi Ni Unajisi katika nchi[emoji120]
 
Amani ipo...

Amani ni KUBWA nchi hii....

Hivi kuna nchi Afrika yenye amani na ubora kama yetu ?!!!

Sema kweli
sio amani ni uoga.. mfano mtu anaimba mnatuona nyani anakamatwa sasa amani iko wapi ?? kutoa maoni na dukuduku ni haki ya raia.
 
sio amani ni uoga.. mfano mtu anaimba mnatuona nyani anakamatwa sasa amani iko wapi ?? kutoa maoni na dukuduku ni haki ya raia.
Kwani uoga si maumbile ya mwanadamu ?!!![emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Una kiu...ninakupa glass 1 ya maji...ukishamaliza unanitukana kuwa ulistahili nikupatie GALLON zima [emoji1787]

Yule dada SIFA aliimba uchochezi.... mathalani ".... Ngorongoro ndugu zetu ,wameondolewa kwa nguvu.....mnatuona manyani..."

Si kweli alichokisema....wako jamii ya wafugaji iliyoelewa na kuhamia HANDENI MSOMERA.....waliobaki wanapigania kisichopo(false flag)...
 
Historia ya serikali ya nchi hii ina Mengi na Mengi hayo hatuyajui.

Kina Hanspope, Maganga, Tamimu na wengine wengi walipanga kumuua na kuipundua serikali ya Mwl Nyerere.

Inadaiwa dereva teksi aliyekuwa akiwasafarisha wapanga mapinduzi kuhudhuria vikao vyao vya Siri alibaini mpango wao na kuripoti kwa vyombo vya usalama.

Muda umeenda Sasa, huyu dereva teksi ni nani? Yupo wapi Sasa? Alilipwa nini na serikali Kama shukurani ya kuinusuru nchi?
Madreva tax wengi enzi hizo walikua wale jamaa zetu wa siri
 
Ombe baada ya kifo Cha Mondlane? Ndio na kulitokea vita ya miaka mingi sana almost 15 years vita ilipelekea vifo Million 1....
Mindi you Mondlane hakupinduliwa yalikua mauaji tu, ila case ya Nyerere angepinduliwa well and good kiti angekalia nani JWTZ? TANU? Upinzani kina Kambona? Hayo ndio yangetuletea vita ya miaka nenda rudi.

Tuweke tume huru Rais aingie kwa haki ila mambo ya kupinduana sio ya kushabikia

Khalafu utakuta anayeota mapinduzi analikitambi hata kutembea mita 500 hawezi. Angalie huko Kongo mkimbizi anakimbia na kutembea mamia ya km na akiwa mbuzi na safuria mgongoni. Acha kabisa hayo mambo. Na Mungu apishie mbali.
 
Back
Top Bottom