Yupo wapi kada maarufu wa CCM Nicodemus Banduka?

Yupo wapi kada maarufu wa CCM Nicodemus Banduka?

Banduka hastahili kukumbukwa kabisa. Huyo hakuwa mtu mzuri hata kidogo. Alikuwa na hila sana na alifanya ufisadi kila alikoenda. Anahusishwa pia na kifo cha aliyekuwa meneja mkuu wa Chama Kikuu cha Ushirika Ruvuma, Bw. Mkuwa aliyekufa kifo cha kutatanisha huku Banduka akiwa anadaiwa pesa kibao alizokopeshwa kwa mlango wa nyuma.

Alishtakiwa wapi au naye yupo juu ya sheria kawa mzee wa tezi?
 
Namkumbuka kipindi alipokua RC wa mkoa wa iringa ndiye aliyekua mgeni rasmi mahafali yetu kidato cha 6 Tosamaganga High School. Usia wake bado unaongea ndani yangu mpaka leo.
 
Yupo Buigiri anajihusisha na ufugaji wa uduvi na dagaa wa maji chumvi. Amechoka mbaya kiasi kwamba pikipiki yake haina hata 'side mirrors'
Umeanza vizuri na kuboronga mwishoni kwa kufanya personal attack!
 
Naomba kufahamishwa alipo ndugu Nikodemus Banduka kada wa CCM. Shupavu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa miaka ya nyuma ila amepotezwa ghafla.
Anakula hela alizoiba SAMCO akiwa RC Ruvuma. Akatengeneza kifo cha meneja wa SAMCO akiwa nyumba ya kulala wageni Iringa. Huyo ndiye Banduka.
 

Mmoja kati ya waliokuwa ma-RC wababe sana enzi zake.

Akiwa Ruvuma aliwahi kumfanyia njama mwandishi habari wa kujitegemea, Adam Mwaibabile Mwana (rip) na kumfunga jela. Hii ilikuwa ni baada ya kuyalipua sana mabomu ya RC huyu ndipo akamwekea nyara za serikali na kutuma askari kumkamata na baadaye mahakama kumfunga 4 yrs.

Hata mie sijui alipo!!
Miongoni wauaj wakuui wa RCU ruvuma cooperative union
 
Kwa wananchi wa kawaida, mnamkumbukaje Mhe. Nicodemus Banduka? Kama kiongozi bshupavu au kamanda mahiri anayeamnini katika ukomunisto
Abakumbukwa Kama mwizi
Aliiba chama kikuu Cha ushirika Ruvuma Hadi akasababisha aliyekuwa meneja mkuu wa hicho chama kujiua Iringa alikomfuata akiwa mkuu wa mkoa wa Iringa Baada ya kuhamishwa toka Ruvuma

Meneja lilipobuma alimfuata kuwa mzee mapesa ya watu hawakuelewana nadhani yule meneja akajiua eneo la kilimani nyumbani kwa Mchungaji alikofikia

Mwizi huyo
 
Naomba kufahamishwa alipo ndugu Nikodemus Banduka kada wa CCM. Shupavu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa miaka ya nyuma ila amepotezwa ghafla.
Alikuwa mjinga mjinga huyu jamaa.
Alikuwa anaweka sifa mbsle.
Hata hivyo sasa ni kikongwe ambaye hana mvuto.
Tunafahamu madudu yake mengi tu.
 
Abakumbukwa Kama mwizi
Aliiba chama kikuu Cha ushirika Ruvuma Hadi akasababisha aliyekuwa meneja mkuu wa hicho chama kujiua Iringa alikomfuata akiwa mkuu wa mkoa wa Iringa Baada ya kuhamishwa toka Ruvuma

Meneja lilipobuma alimfuata kuwa mzee mapesa ya watu hawakuelewana nadhani yule meneja akajiua eneo la kilimani nyumbani kwa Mchungaji alikofikia

Mwizi huyo
Uko SAHIHI aliiba sana,meneja aliitwa Mkua .Ila Kuna story kuwa hakujiua walileta maiti ya mtu mwingine hata haikushuhudiwa
Meneja alitokomea Kenya

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom