Yupo wapi kada maarufu wa CCM Nicodemus Banduka?

Kuna Mkwizu mwingine kaolewa bahari beach sijui ni ndugu yao?
 
Huyu kila alikopitia kuna mtumishi alijiua kwa ajili yake, alikuwa haelewani na JK alipoona amepitishwa akajua hana chake tena akustaafu aliachwa
 
Naomba kufahamishwa alipo ndugu Nikodemus Banduka kada wa CCM. Shupavu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa miaka ya nyuma ila amepotezwa ghafla.
Khaaaa, yule msanii.....mbona alishabanduka kitambo.
 
Naomba kufahamishwa alipo ndugu Nikodemus Banduka kada wa CCM. Shupavu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa miaka ya nyuma ila amepotezwa ghafla.

Alijipoteza mwenyewe
 
Yupo Buigiri anajihusisha na ufugaji wa uduvi na dagaa wa maji chumvi. Amechoka mbaya kiasi kwamba pikipiki yake haina hata 'side mirrors'
Jibu kama hilo ndio wabongo wanapenda kusikia ndio mwana unachezea "like za kutosha" Kamati ya roho mbaya
 
Huyu kila alikopitia kuna mtumishi alijiua kwa ajili yake, alikuwa haelewani na JK alipoona amepitishwa akajua hana chake tena akustaafu aliachwa
 
Naomba kufahamishwa alipo ndugu Nikodemus Banduka kada wa CCM. Shupavu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa miaka ya nyuma ila amepotezwa ghafla.
Huenda anasoma PhD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…