Yupo wapi kada maarufu wa CCM Nicodemus Banduka?

Yupo wapi kada maarufu wa CCM Nicodemus Banduka?

Historia inaonyesha kuwa ukishndana na prof. Maghembe, akikushnda unapotea.
Alishindana na Maghembe 2000 kugombea ubunge wilaya ya Mwanga.

Eeh kwani Prof Maghembe ana nini?
Ameshapoteza watu wangapi?
 
alipotwezwa na jk huyu! Jamaa ilikuwa hakum support jk huyu! Alikuwa kambi ya sumaye! Alijaribu kushawishi baadhi ya wakuu wa wilaya, kafa nao wote baada ya uchaguzi!
Kuna siku nilikutana nae pale NSSF, inaonekana alikuwa anafuatilia Pension ya kustaafu

Alipotezwa vibaya wakati yuko mkoani Lindi.
Kwa hivi sasa anaendesha kampuni ya ukandarasi wa barabara!
 
Nicodemus Manase Banduka Mkwizu. Kaka yao mkubwa alikuwa balozi Ambassador Mkwizu, maarufu enzi za Mwalimu. Kaka yake mwingine Martin Mkwizu alikuwa headmaster, na waliwahi kugombea cheo kimoja, kinyume kabisa na maelekezo ya wazee wa ukoo, lakini mdogo (Banduka) ndiye aliyeshinda. 'Selfish' is an insufficient word in describing him, hata nyumbani kwao hawampendi.
 
Wanajamvi mpo,,,,
nalazimika kumkumbuka Nicodemus Banduka, kwani aliwahi kua mkuu wa mkoa wangu, SHINYANGA.
Na moja ya mambo yanayonilazim nimkumbuke Mzee Banduka ni pale alipowahi kuhutubia mkutano wa hazala katika moja ya vijiji vya wilaya ya bariadi ambayo sasa ni mkoa mpya wa Simiyu, alisema, UJIO WA VIWANDA VINGI VYA KUCHAMBUA PAMBA MKONI SHINYANGA SIO NEEMA KWA WAKULIMA WA PAMBA NI BALAA, leo nimelazimika kumkumbuka, baada ya mbuge mmoja wa chama kilichopo madarakani, ambapo jimboni kwake wanalima pamba kwa wingi kua serikali inampango wa zati kuvutia wawekezaji katika kilimo cha zao la pamba ili kusiwepo mkanganyiko wa bei wa zao hilo kila msim,
binafsi sijamuelew.
 
Bahimba

Hata kama haujasoma hakika hauwezi tamka maneno hayo husika!
Nenda kwenye Google utampata!

Kweli nimeamini lugha ya Taifa ni ngumu

Wanajamvi mpo,,,,
nalazimika kumkumbuka Nicodemus Banduka, kwani aliwahi kua mkuu wa mkoa wangu, SHINYANGA.
Na moja ya mambo yanayonilazim nimkumbuke Mzee Banduka ni pale alipowahi kuhutubia mkutano wa hazala katika moja ya vijiji vya wilaya ya bariadi ambayo sasa ni mkoa mpya wa Simiyu, alisema, UJIO WA VIWANDA VINGI VYA KUCHAMBUA PAMBA MKONI SHINYANGA SIO NEEMA KWA WAKULIMA WA PAMBA NI BALAA, leo nimelazimika kumkumbuka, baada ya mbuge mmoja wa chama kilichopo madarakani, ambapo jimboni kwake wanalima pamba kwa wingi kua serikali inampango wa zati kuvutia wawekezaji katika kilimo cha zao la pamba ili kusiwepo mkanganyiko wa bei wa zao hilo kila msim,
binafsi sijamuelew.
 
Last edited by a moderator:
wanajamvi mpo,,,,
nalazimika kumkumbuka nicodemus banduka, kwani aliwahi kua mkuu wa mkoa wangu, shinyanga.
Na moja ya mambo yanayonilazim nimkumbuke mzee banduka ni pale alipowahi kuhutubia mkutano wa hazala katika moja ya vijiji vya wilaya ya bariadi ambayo sasa ni mkoa mpya wa simiyu, alisema, ujio wa viwanda vingi vya kuchambua pamba mkoni shinyanga sio neema kwa wakulima wa pamba ni balaa, leo nimelazimika kumkumbuka, baada ya mbuge mmoja wa chama kilichopo madarakani, ambapo jimboni kwake wanalima pamba kwa wingi kua serikali inampango wa zati kuvutia wawekezaji katika kilimo cha zao la pamba ili kusiwepo mkanganyiko wa bei wa zao hilo kila msim,
binafsi sijamuelew.

yupo upareni analima.ila lile lilikuwa jembe sana alikuwa na uwezo wa kipekee wa kusukuma maendeleo
 
Wanajamvi mpo,,,,
nalazimika kumkumbuka Nicodemus Banduka, kwani aliwahi kua mkuu wa mkoa wangu, SHINYANGA.
Na moja ya mambo yanayonilazim nimkumbuke Mzee Banduka ni pale alipowahi kuhutubia mkutano wa hazala katika moja ya vijiji vya wilaya ya bariadi ambayo sasa ni mkoa mpya wa Simiyu, alisema, UJIO WA VIWANDA VINGI VYA KUCHAMBUA PAMBA MKONI SHINYANGA SIO NEEMA KWA WAKULIMA WA PAMBA NI BALAA, leo nimelazimika kumkumbuka, baada ya mbuge mmoja wa chama kilichopo madarakani, ambapo jimboni kwake wanalima pamba kwa wingi kua serikali inampango wa zati kuvutia wawekezaji katika kilimo cha zao la pamba ili kusiwepo mkanganyiko wa bei wa zao hilo kila msim,
binafsi sijamuelew.

Bahimba ... cheki hiyo thread hapo chini - ina swali kama lako - nafikiri utapata jibu humo

Link: https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/167266-nicodemus-banduka.html
 
alipotwezwa na jk huyu! Jamaa ilikuwa hakum support jk huyu! Alikuwa kambi ya sumaye! Alijaribu kushawishi baadhi ya wakuu wa wilaya, kafa nao wote baada ya uchaguzi!
Kuna siku nilikutana nae pale NSSF, inaonekana alikuwa anafuatilia Pension ya kustaafu
Huyu alikua ni ccm mhafidhina. Magamba ni hodari wa kufuata upepo na wengi walifaulu kubadilisha kambi dakika za mwisho na kuambulia chochote kwa jk.
 
Mara ya mwisho nimemwona Mtwara, ni Mkandarasi Daraja IV hivi anajenga Ukuta wa Mamlaka ya Bandari kwa kutumia Lori la Isuzu alilokwapua kwenye Mradi wa DANIDA akiwa Iringa.
 
Bubu Msemaovyo Umenikumbusha mbali sana habari za Mwandishi Adam Mwababile na kisa cha Mkuu wa Mkoa nafikri ni Mateo Quares, kuna visa nchi hii.
 
Last edited by a moderator:
Huyu mpuuzi ndiye aliyekoleza moto mgomo wa wanafunzi wa Songea Boys mwKa 1993/4.. Nasikia alitemwa na mtandao wa Kikwete 2005 akiungana na kina Laurence Gama, Gachosa na Mangula. Huyu jamaa kwenye ule mgomo akawaletea wanafunzi Mkuu wa Wilaya aliyetamka maneno ya kashfa na matokeo yake wanafunzi wakauendeleza mgomo wao kama kawa, mpaka Mkuu wao wa shule wa wakati ule , Mr. mbao karibu ate,eshwe kazi. Kilichomsaidia Mwal. Mbao ni uwepo wa rafiki yake wizara ya Elimu ambaye Limkingia kifua.
 
Back
Top Bottom