Yupo wapi kada maarufu wa CCM Nicodemus Banduka?

Yupo wapi kada maarufu wa CCM Nicodemus Banduka?

Yupo Buigiri anajihusisha na ufugaji wa uduvi na dagaa wa maji chumvi. Amechoka mbaya kiasi kwamba pikipiki yake haina hata 'side mirrors'

Mkuu kwani kuna Ulazima uchangie,,,Mengine mwachie Baba na Mama.
 
Hilo la kuhusu huyu mwanadamu kuchukiwa na ndugu zake ni kweli. Mimi nafahamiana na baadhi ya ndugu zake na wanasema jamaa ni mchonganishi na mbabe na ubabe wake ni ule usio na msingi, ubabe wa kitoto. Mtu mwenyewe kafulia. Na hii ndio ilisababisha akakosa ubunge kule kwao.
 
Hilo la kuhusu huyu mwanadamu kuchukiwa na ndugu zake ni kweli. Mimi nafahamiana na baadhi ya ndugu zake na wanasema jamaa ni mchonganishi na mbabe na ubabe wake ni ule usio na msingi, ubabe wa kitoto. Mtu mwenyewe kafulia. Na hii ndio ilisababisha akakosa ubunge kule kwao.
Kifupi ni kuwa huyu kiumbe ana roho mbaya sana.
Wanaomfahamu wanamjua zaidi
 
Ni mtu ambaye historia inamhukumu !
Si ndugu wala jamaa, hakuna ambaye amewahi kutendewa jema na huyu kiumbe.
Ni mtu ambaye aliangalia zaidi tumbo lake kuliko utu.
 
Huyu kiumbe Nikodemu Banduka anafahamika zaidi kwa roho mbaya na ubinafsi !
...hakuna zaidi.
 
Huyu kiumbe Nikodemu Banduka anafahamika zaidi kwa roho mbaya na ubinafsi !
...hakuna zaidi.
Mmmnh Banduka? Usinikumbushe huu mwamba!. Na yule mtu aitwaye Elickim Simpassa, alikuwa mbunge wa Mbozi yuko wapi? Huo mwamba uligeuza Bunge mahakama na kuwasakama waandishi ile mbaya? Yuko wapi? Nisisahau. Na yudhe Lais wa Bunge la Afilika, mama mtukuka Geludi Mongella yu wapi dhjamani, nakumbuka alipothindwa na Mathemli alikuwa anadjificha, yupo wapi? Bukerebhe au?
 
Banduka hastahili kukumbukwa kabisa. Huyo hakuwa mtu mzuri hata kidogo. Alikuwa na hila sana na alifanya ufisadi kila alikoenda. Anahusishwa pia na kifo cha aliyekuwa meneja mkuu wa Chama Kikuu cha Ushirika Ruvuma, Bw. Mkuwa aliyekufa kifo cha kutatanisha huku Banduka akiwa anadaiwa pesa kibao alizokopeshwa kwa mlango wa nyuma.
 
Nakumbuka kwenye siasa za jimbo la Same ambapo marehemu Chediel Y Mgonja (RIP) alikuwa mshiriki (Mbunge kwa miaka mingi), Bwana Nicodemus Banduka alikuwa akizunguka kwa wananchi na mstari wa Biblia wa Ezekiel 7:7 kwa ajili ya kumwangusha Mgonja, ingawa hawakufanikiwa na lengo lao ovu kwa miaka mingi. Washirika wengine waliokuwa nyuma ya Banduka walikuwa Kisumo Peter, Cleopa Msuya, Mgaya wa Same Elephant Motel, Marehemu Samwel Mdee na Judge kiongozi Nassor Mzavas. Ilibidi Mzavas atumie njia ya Mahakama ya Rufaa Tanzania na hatimaye kumkomoa Mgonja. Anyway Banduka alishiriki siasa za chuki kuu kule Same.
 
Hilo la kuhusu huyu mwanadamu kuchukiwa na ndugu zake ni kweli. Mimi nafahamiana na baadhi ya ndugu zake na wanasema jamaa ni mchonganishi na mbabe na ubabe wake ni ule usio na msingi, ubabe wa kitoto. Mtu mwenyewe kafulia. Na hii ndio ilisababisha akakosa ubunge kule kwao.

mtu ukifulia inatakiwa uwe mpole ili wenzako wakusaidie sasa yy anakuwa mbabe ataozea kijijini , hajifunzi kwa mwenzake mangula !!.
 
Back
Top Bottom