Wapi Nemo?, Adili wa Chapakazi?
yule jamaa aliimba nakupenda Hip Hop nasikia kawa mwanajeshi sasa tukumbushane aliitwa nani?
Huyo Mad Max kuna ngoma yake moja aliimba na masister flan hivi (bila shaka ni unique sisters) naitafuta sana.
Blandina Mwongezi (Aunt Ndina)
David Mwaibula (Mzee Mwaibula)
Sos B (Sosthenes Ambakisye) wa KukuluKakalaZako(KKZ)
King Dodoo
Rado naye usiulize, nataka majibu na sio maswali....
Mr Paul wa Zuwena yuko wapi sikuizi?
Nenda igogo utakmuta Sajna wa kutosha ila ukimkosa pitia anga za bugarika..yupo tu nilimuona ananyoa kwenye saluni zile za kulipia buku
Mpaka mavichwa yanaongezeka upana majobless majobless [emoji23]Daah..nimewaona hapi BDP..aisee watu tumetoka mbali bwana...
"Sometime tunafanya kazi hatari sana ..Majobless jobless"
Kalinye kalinye oiiiKweli...! Alikuwa na kipindi nafikiri hip hop base kama sijakosea pale EATV
Sawa kabisa, bro wangu alikuwa anamkubari sana huyo jamaa hadi kero, na huo msemo wakeKalinye kalinye oiii
Sawa kabisa, bro wangu alikuwa anamkubari sana huyo jamaa hadi kero, na huo msemo wake
Enika ana sauti nzuri sana.. Achana na hawa wapewa promo Nandy sijui Ruby..Enika nadhani yupo East na aliimba kwenye kumuaga mzee Mengi hapa Dar
Amenenepa sana
Mkuu Lushoto ni kama ulaya kule jamaa usikute mazingira safi yamemvutia halafu unaweza dhani kachacha kumbe mwana anapiga pesa za kilimo kule juuu kwa juuDuh.fame yote ile aishi lukozi.kweli mambo yanabadilika asee
Aliyefariki ni memba wa scout jenters Ila memba wa daz nundaz wote bado wanapumua,Kuna mmoja alifariki
Nadhani Critic alikuwa anaishi sinza
Huyu lugha kaijulia naijeria huko mama yake alikuwa anafanya kazi ubalozi wa tz nchini naijeria kwahiyo shule ya msingi alianzia kule akaja malizia bongoSure mkuu,hiphop base nilkua sikosi..hakika hakuna MC kama saigon na hatokuja atokee..jamaa kwanza lugha imelala hadi basi..alaf alikua muhun flani hivi..dah
chek interview alifanya mkasi
Safi sanaa Alijiongeza fasta Jamaa. Ireland kule nasikia pako poa sana aseeYupo Ireland kaoa na mzungu
Big doggy PoseDaah..nimewaona hapi BDP..aisee watu tumetoka mbali bwana...
"Sometime tunafanya kazi hatari sana ..Majobless jobless"