Yupo wapi siku hizi?

Yupo wapi siku hizi?

Kweli maisha yanabadilika sana vinajna wazamani kidogo thread hii imenikumbusha mbali sana nikiwa bado skul, nikitoka tu saa 8 mchana naenda RFA na twini pale aise shoo time nilikuwa nakipenda balaa sijui kama hadi leo kipo...wakati nipo skul tulikuwa tunashindana na jamaa angu mmoja kuhusu mzk na kupata mashairi mapya ...pia binti kisura ya inspector haruni, mtoto wa kiume ya mabovu n.k, kweli maisha yanabadilika sana ......ila sas sipo huko nipo kwa Bwana Yesu sisikilize tesha mambo hayo ya kishetani msalaba mbele ....Mungu anisaidi nifike Mbinguni # SINA NINIA YA KUMKELA MTU KWA MANENO YA WISHO JUST IS LIFE
 
Sure mkuu,hiphop base nilkua sikosi..hakika hakuna MC kama saigon na hatokuja atokee..jamaa kwanza lugha imelala hadi basi..alaf alikua muhun flani hivi..dah

chek interview alifanya mkasi

Sawa kabisa, bro wangu alikuwa anamkubari sana huyo jamaa hadi kero, na huo msemo wake
 
Enika nadhani yupo East na aliimba kwenye kumuaga mzee Mengi hapa Dar
Amenenepa sana
Enika ana sauti nzuri sana.. Achana na hawa wapewa promo Nandy sijui Ruby..
Enzi hizo nipo A level 2005 alifanya tangazo moja la CRDB lilikua likitumika kwenye amka na magazeti RFA..
Nina kiredio changu nasikiliza magazeti.
 
Sure mkuu,hiphop base nilkua sikosi..hakika hakuna MC kama saigon na hatokuja atokee..jamaa kwanza lugha imelala hadi basi..alaf alikua muhun flani hivi..dah

chek interview alifanya mkasi


Huyu lugha kaijulia naijeria huko mama yake alikuwa anafanya kazi ubalozi wa tz nchini naijeria kwahiyo shule ya msingi alianzia kule akaja malizia bongo
 
Daah..nimewaona hapi BDP..aisee watu tumetoka mbali bwana...

"Sometime tunafanya kazi hatari sana ..Majobless jobless"
Big doggy Pose

Watoto wa juzi hawawezi wajua hawa.

Wao wanamjua harmonize na lavalava tu

Enzi hizo BDP wanatesa na ngoma ya "make wa MTU ni sumu na majobless au ile ya wanaokwenda jela Ft inspector harun ,harmonize alikuwa Ntwara anacheza mdako na kibababa lava lava alikuwa kwao mitaa ya uswazi dar hapo alivalishwa nepi

Hahahaha
 
Back
Top Bottom