Ndiyo Tena alikataa Katu Nyimbo Zake Zisije Zikapigwa Redion Hataki Kabisa
Hata kama angetaka zipigwe ni nani angezipiga!
Hii tabia ya wasanii kuishiwa ndo wamrudie Muumba ni ya kukemewa!
Shaa Mbona yupo hapa bongo Ana mchumba wake máster J
"Maprosooo nieleze ukweli wako baba" ila huyu dada sijui kapotelea wapi..waridi na Aisha wa mambo hayo nao sijui wamepotelea wapizamani ukikumbuka unaweza ukamwaga hata chozi yani hivi wako wapi sumbi na bocha,abiola, bupe na aunt seche wa kaole, yu wapi dada alieimba maprosooo
Mume kamuachia naniNyamayao yupo China anaingiza sauti kwenye vipindi vinavyorushwa na startimes
Ukisikia uchumba sugu ndio huo sasa shaa na master wapo muda khaaa ilitakiwa mtoto wao awe fomu wani teh
Salu T yupo ,anatoa ngoma bado kama kawaida.
Dr.leader mara ya mwisho nilimwona tanga mikanjuni tairi 3 maskani tu akila kaya
Sasa kama Mkapa mwenyewe anaishi Lushoto ije kuwa huyo mshkajiMkuu Lushoto ni kama ulaya kule jamaa usikute mazingira safi yamemvutia halafu unaweza dhani kachacha kumbe mwana anapiga pesa za kilimo kule juuu kwa juu
Hapo Sasa hata mie sijuiMume kamuachia nani
Sasa si amuoe tu jamaniMaster J ndio amemvunja Shaha kikombe chake cha usichana wake kipindi kile wanaanza Coca cola pop star
Mike T na track zake
Hali halisi ft Jay dee
Sintobadilika ft Qchief
Je utanipenda ft Mad Ice
Alikuwa bishoo flani hiv classic, namkubali sana
Oten track kali ilikuwa nicheki ninavyongara
Tabia wa kidedea ni marehemu nadhani
Yuko wapi Frank Mtao wa channel 10 mara ya mwisho nilisikia yupo China
Na Kuna jamaa aliyekuwa anafanya hihhop base ya eatv kabla ya Saigon
Sauda Mwilima yeye yukoo wapiii
Kal p ndio huyo pembeni ya suma lee ni Sheikh na ndio kamfundisha fundisha sana suma lee mambo ya diniView attachment 1102104
BDP wametawanyika tawanyika but habari njema ni kwamba hapa majuzi wamesharekodi wimbo bado kuutoa tuu... Issa yupo kigamboni, drez kimara na computer pose nadhani ndio kabaki kino.Umechanganya Madawa mkuu..Ma-jobless ni BDP(Bigdogg Pose) waliokuwa wanafanya recording zao na Amit Bajaj Mentor.
Wapo kinondoni shamba kwa msokota nywele
Walioimba "Mke wa mtu Sumu" na "wanaokwenda jela" wanaitwa LWP (Life with Purpose) walikuwa wana record na Pfunk nadhani wapo TMK