Yupo wapi siku hizi?

Hapo kashatoka uigiziaji bongo ni biashara kichaa sana
Yeah! Bongo kuigiza miyeyusho, l kama kina sepenga ndio wanachezewa weee hata mabint

Nauona yupo smart hata kabla ya kwenda china hakuwa na skendo .
 
Kuna wengine akina
Geez mabovu
Voice wonder
Solo thang
Uvc team
Jaffarai
Mchizi mox n.k

Sijui wako wap
Geez Mabovu alifariki kama sikosei aisee.

Solo yupo Bongo anafanya mishe za biashara na kurap kidogo

Voice Wonder kweli huyo kapotea
 
Kuna wimbo uliitwa Nakupenda Hip Hop na mwingine pazia jeusi
ehhh!! alitamba na vibao viwili " nakupenda hip hop" na "waite polisi" jamaa sa ivi ni mwanajeshi pale kambi ya makutupora dodoma.


Kuna mda kanijib hivyo kuhusu msanii ROHO SEVEN
 
Geez Mabovu alifariki kama sikosei aisee.

Solo yupo Bongo anafanya mishe za biashara na kurap kidogo

Voice Wonder kweli huyo kapotea
Kuna msanii mmoja hivi ni rasta alimshirikisha dully sykes kuimba wimbo fulan..kwny video anaonekana jamaa anaomba namb ya simu kwa bint, bint anakuwa hamjali hiv, baadae akampa hiyo namba..kumbe binti ni muathirika UKIMWI, ila bint ali wambia jamaa kuhus hali yake...sijui u aitwajehuu wimbo na n msanii nan
 
sarah mpaka wanatengana wakilisha alikua anatumia jina la sarah..
.

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Juz kat si napark gar maeneo ya segerea si nkamwona daz baba analisokota na mateja wenzie wapiga debe..yaan ni teja kabisa nahis nayeye alikua anapiga debe pale
Ndo mitaa yake hiyo kwao ni segerea kwa ndan kidogo panaitwa polis jamii ugombolwa karibu na hospital ya segerea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…