Yupo wapi siku hizi?

Yupo wapi siku hizi?

CH4ufwwXAAELx2D.jpg:large
damasbc.jpg

dah umenikumbusha mbali sana,sema namuonaga sana Twitter ,Angel damas
 
Flo

Flora nducha na Rose chitala. Umenikumbusha mbali sana. Kuna Abubaqar Sadick. Kuna kibwagizo kiliimbwa nahisi ni banza stone akiwataja watangazaji wa Radio one enzi hizo. Kina Misa ya Bingi (huyu sikuwahi kumfuatilia sana ila nahisi lilikuwa jibaba flani bongebonge) enzi hizo tv ni za kuhesabu, ukimuona mtangazaji wa radio kwenye tv, unasimulia wiki nzima

Hicho kibwagizo kiliimbwa na PAPII KOCHA sio banza ( R.I.P)
 
Yupo wapi Kawawu na Kibwana Dach waliokua watangazaji wa Magic fm?
 
Ksal alikuwa hajui kuimba alibahatisha wimbo mmoja tu MKIWA ambao feruzi aliubeba kama Wa kwake. So kupotea ilikuwa ni lazima
Acha uongo!
Dogo alikua ana jua kuimba na kuchana sana. Kuna ngoma nyingine 'Unapopata Tumia unapokosea Tulia" chorus wameimba kina Mandojo.
 
Back
Top Bottom