Yusuf Manji arejea Tanzania

Yusuf Manji arejea Tanzania

Mtu yeyote anayetajirika kwa ujanjaujanja haleti maendeleo nchini bali umaskini!! Manji haleti fedha za kuwekeza bali anakwenda kukopa hela zenu mlizoweka benki ndio anazizungusha halafu mwisho wa siku halipi madeni benki na nyie mliowekeza huko CRDB mwisho wa mwaka mnaambia benki haikupata faida hivyo hampati gawio sababu mikopo ya wakina Manji imekuwa chefu chefu na benki faida yake ni kiduchu!!

Acha kuleta story za vijiwe vya kahawa; unajua undani wa biashara za Manji? CRDB wanatengeneza faida kila mwaka? Default mkubwa CRDB sio Manji…
 
Wataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje!

Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi. Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi
Kati ya waliokupa likes, maskini wako 53 na wenye uwezo wa kati 4. Hakuna anayefanya biashara kutengeneza hasara.
 
Kwa Shutuma zake nyingi na zisizovumilika namuomba Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan aamuru Kukamatwa upesi kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kisha Yusuf Manji awe Shahidi #1 wa yanayomsibu.

Kila nikikumbuka Tukio alilofanyiwa Manji wa Watu pale Kwake Sea View huku Paul Makonda akiratibu Zoezi zima hadi Manji Chozi la Uchungu kuntoka baada ya Pesa zake zaidi ya Bilioni 3 Kunyakuliwa na Gari lake la Thamani Mhusika kulichukua na Kujimilikisha na aliyelala Kimoja sasa Geita akibariki Krav Maga huwa naumia sana.

Yusuf Mehboob Manji usiogope Kuusema huu ukweli ambao najua hata Rafiki yako mkubwa Rais Mstaafu Mzee Kikwete pamoja na Mwanae Ridhwani ( ambao nao walidharauliwa sana na Makonda aliyokuwa RC wa Dar ) wanalijua hili ila waliogopa kusema kwa Baba yake wa Hiari yasije yakawakuta nao.

Najua yakianza Kufumuka ya Paul Makonda nina uhakika wote tutakubaliana kuwa alichokifanya Ole Sabaya ni cha Mtoto kama ni Viumbe wa Majini ( Baharini ) kwa Ufisadi, Uonevu na Ukatili Sabaya ni Papa ila Makonda ni Nyangumi.

Na ninashangaa kwanini hajakamatwa.
Manji karudi kweli lakini yupo mikononi mwa TAKUKURU(mwananchi)
FB_IMG_1622703972361.jpg
 
Makonda anaishi kama digidigi sasahivi ameamua kuwa mkulima huko shambani na anajificha kwelikweli maana anajua ipo siku watakula ule mtigo wake alioubebelea shuwainy kabisa
 
Manji karudi kweli lakini yupo mikononi mwa TAKUKURU(mwananchi)View attachment 1806742
Kuwa mikononi mwa TAKUKURU ni Jambo la Kawaida sana kutokana na Shutuma zake ambazo hata hivyo nyingi zilikuwa ni za Kumbambikia kwakuwa kuna Mtu ( sasa hayupo duniani ) alimchukia tokea alipokuwa Waziri. Nina uhakika huko TAKUKURU atapangua hayo Madai yake yote na kuwa Huru ndani ya nchi yake ya Tanzania.
 
Kwa Shutuma zake nyingi na zisizovumilika namuomba Mheshimiwa Rais Mama Samia Suluhu Hassan aamuru Kukamatwa upesi kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kisha Yusuf Manji awe Shahidi #1 wa yanayomsibu.

Kila nikikumbuka Tukio alilofanyiwa Manji wa Watu pale Kwake Sea View huku Paul Makonda akiratibu Zoezi zima hadi Manji Chozi la Uchungu kuntoka baada ya Pesa zake zaidi ya Bilioni 3 Kunyakuliwa na Gari lake la Thamani Mhusika kulichukua na Kujimilikisha na aliyelala Kimoja sasa Geita akibariki Krav Maga huwa naumia sana.

Yusuf Mehboob Manji usiogope Kuusema huu ukweli ambao najua hata Rafiki yako mkubwa Rais Mstaafu Mzee Kikwete pamoja na Mwanae Ridhwani ( ambao nao walidharauliwa sana na Makonda aliyokuwa RC wa Dar ) wanalijua hili ila waliogopa kusema kwa Baba yake wa Hiari yasije yakawakuta nao.

Najua yakianza Kufumuka ya Paul Makonda nina uhakika wote tutakubaliana kuwa alichokifanya Ole Sabaya ni cha Mtoto kama ni Viumbe wa Majini ( Baharini ) kwa Ufisadi, Uonevu na Ukatili Sabaya ni Papa ila Makonda ni Nyangumi.

Na ninashangaa kwanini hajakamatwa.
We kenge unajua huyoo manji anamaujingaa mangapii ya huko nyuma..hiv watanzania wamejaza mavi vichwani au mikojoo...huyoo manji anapaswaa mpaka sasa awe pale segeremea kwa upuuzi aliofanya kwenye nchi hii..ulizia narco ya kigamboni alichokuwa anataka kuifanyia serikali..acheni upuuzi nyie walala hoiii...mijitu mingine inakera had unataka kuyachapa risasi kwa kutumia wifi...kenge kabisaaaa..mnakumbatia mafisadii ya ajab kabisaa hapa...
 
We kenge unajua huyoo manji anamaujingaa mangapii ya huko nyuma..hiv watanzania wamejaza mavi vichwani au mikojoo...huyoo manji anapaswaa mpaka sasa awe pale segeremea kwa upuuzi aliofanya kwenye nchi hii..ulizia narco ya kigamboni alichokuwa anataka kuifanyia serikali..acheni upuuzi nyie walala hoiii...mijitu mingine inakera had unataka kuyachapa risasi kwa kutumia wifi...kenge kabisaaaa..mnakumbatia mafisadii ya ajab kabisaa hapa...
Yeye Fisadi na Muuaji huyo nani ni bora?
 
Back
Top Bottom