Yusuf Manji arejea Tanzania

Yusuf Manji arejea Tanzania

Kuna watu walikuwa wanatawala utafikiri vyeo vyao na upepo wa siasa utabaki hivyo hivyo milele.

Huko Hai kuna mfanyabishara alipaza sauti akaonesha njia, saizi kuna wanawake kama 40 nao wamepata confidence kuweka wazi jinsi Sabaya alivyokuwa akiwanyanyasa kijinsia.

Na uhakika hapa Manji akianzisha njia ya kutoa ushahidi wake basi kuna watu wengi sana watapanga foleni kuelezea waliyofanyiwa na Makonda.

Makonda huu Mwaka huenda akawekwa ndani kama Sabaya hata mahabusu huku upelelezi wa tuhuma hizo ukiendelea
 
Yaan akikamatwa dar nzima itasimama kutoa maovu yote waliyotendewa pamoja na wooote waliokuwa wakimsifia kinafki kumuita sjui baba, mara mlezi, sjui mabirthday wishes yote yale waliyokuwa wakimuwish watasema walikuwa wanalazimishwa kikatili kabisa
 
Ili kumtia hatihani ni HEKIMA kuu Wale wote wanaohisi kufanyiwa madhila ambayo hayakuwa ya kiubinadamu,kiutu wakafungua jalada Mara moja la madai ya kutotendewa haki,Na kuyawakilisha panapo husika,ili mengine yafuate...au mnaonaje watanzania?
 
Hivi akija muhindi aka anzisha kiwanda au pengine akachukua kiwanda kilichotelekezwa mfano kiwanda cha Tumbaku/Nguo nk, akaajiri watanzania wa kawaida tena ambao hawana ujuzi zaidi ya 300, akasaidia wakulima wa Pamba/ Tumbaku wakapata bei nzuri, huku akiwalipa wafanyakazi/watanzania mishahara waendeshe maisha yao; Kipi bora? tuache kiwanda kiwe gofu?
Acheni basi kuwa na ukoloni wa fikra.
Ujue maskini na matajiri wanategemeana; Bila hao kina Manji na masikini hawawezi kupata hela
Sema wengine tumejiwenga tupo kwenye kapu la kuwachukia waliofanikiwa na akiwa na rangi tofauti tuu basi kumbe wapo wazawa na wezi tuu na kodi hawalipi...
 
Hivi Makonda hajakimbilia USA baada ya JPM kuitwa mbinguni kweli?

Simuoni hapa TZ kabisa
 
Hivi Makonda hajakimbilia USA baada ya JPM kuitwa mbinguni kweli?

Simuoni hapa TZ kabisa
Ngoja tukupe chapi yake
IMG-20210530-WA0017.jpg
 
Back
Top Bottom